Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la msingi sanaKiwanja kina ukubwa gani
625 Square MetresKiwanja kina ukubwa gani
kuna wakati bora kuishi eneo dogo unalolimudu kwa kila kitu.....
njooni mniue.
Mkuu tukuue tena? Hapana. Kila mmoja ana nafasi ya kutoa mawazo yakekuna wakati bora kuishi eneo dogo unalolimudu kwa kila kitu.....
njooni mniue.
Umeandika maneno yenye hekima, GT watakuelewakuna wakati bora kuishi eneo dogo unalolimudu kwa kila kitu.....
njooni mniue.
Kuna sehemu ulisema huyu muuzaji anavitu vingi (tajiri) halafu vyote anaviuza JF..Umeandika maneno yenye hekima, GT watakuelewa
Hujasema upo wapi?kuna wakati bora kuishi eneo dogo unalolimudu kwa kila kitu.....
njooni mniue.
[emoji28][emoji28][emoji28]kuna wakati bora kuishi eneo dogo unalolimudu kwa kila kitu.....
njooni mniue.
Wazo zuri, lakini aikarabati kwa namna gani mkuu?Mkuu, aikarabati kwanza basi tufanye biashara kuna wahindi wanaitaka hiyo
Kukarabati kitu kinachouzwa ni mpaka mnunuzi aoneshe Nia atoe pendekezo lake la namna ya ukarabati autakao.Mkuu, aikarabati kwanza basi tufanye biashara kuna wahindi wanaitaka hiyo
Sahihi kabisa [emoji1666]Kukarabati kitu kinachouzwa ni mpaka mnunuzi aoneshe Nia atoe pendekezo lake la namna ya ukarabati autakao.
Vipi ikiwa muuzaji akaikarabati na akaja mnunuzi mwengine asipende ukarabati uliofanyika?
Dah [emoji41]Hujasema upo wapi?