Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Watu wanaishi jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji4][emoji4]Watu wanaishi jamani
Duh..[emoji26]Kujaza urembo rembo kwenye nyumba kunaifanya ipitwe na wakati (fashion) haraka.
[emoji1666]Ahsante kwa taarifa...
Mkuu, aikarabati kwanza basi tufanye biashara kuna wahindi wanaitaka hiyo
Kujaza urembo rembo kwenye nyumba kunaifanya ipitwe na wakati (fashion) haraka.
Dah [emoji848]Naomba niulize wahindi wanaruhusiwa kumiliki ardhi bongo?
[emoji847]Ahsante kwa taarifa...
Hata sisi waswahili tunaweza ila shida yetu ni wafujaji wa pesa,nyumba itapendeza pale hela inapokuwepo,lkn ikisha kata kona inakuwa ni balaa tupu.Mswahili akishakuwa na hela wanawake atakuwa nao kila uchochoro,baa zote maarufu anajulikana yeye,kwahiyo ndani ya muda mchache hela inakatika,tofauti kabisa na wahindi au waarabu kwa hapa bongo....Wazungu sijui huwa wanafanyaje unaweza kuona nyumba ilijengwa miaka 100 iliyopita but mpaka sasa ni nzuri,huwa napenda sana ujengaji waoView attachment 2231401
View attachment 2231402
Ni kweli kabisa mkuu [emoji848]Hata sisi waswahili tunaweza ila shida yetu ni wafujaji wa pesa,nyumba itapendezeza pale hela inapokuwepo lkn ikisha kata inakuwa ni balaa tupu.Mswahili akishakuwa na hela wnawake atakuwa nao kila uchochoro,baa zote maarufu anajulikana yeye,kwahiyo ndani ya muda mchache hela inakatika,tofauti kabisa na wahindi au waarabu kwa hapa bongo....
Kweli ee?[emoji848]Milioni 600 ni nyingi kwa hii nyumba pamoja na kiwanja. Maeneo hayo hayo napata kiwanja kikubwa cha milioni 100 na najenga kwa milioni 400 nyumba mpya na ya kisasa. Hiyo ukiingia unakuta inanuka uvundo
Kwa hiyo tukiwa na million 600 tusile mbususu waku tuwekeze kwenye nyumba🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli kabisa mkuu [emoji848]