Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Unapoanza maisha eneo dogo kwako ni kipaumbele ila muda unapozidi kwenda utagundua kuishi kwenye eneo dogo ni umasikinikuna wakati bora kuishi eneo dogo unalolimudu kwa kila kitu.....
njooni mniue.
Hahaha [emoji23]Kwa hiyo tukiwa na million 600 tusile mbususu waku tuwekeze kwenye nyumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Very true [emoji848]Unapoanza maisha eneo dogo kwako ni kipaumbele ila muda unapozidi kwenda utagundua kuishi kwenye eneo dogo ni umasikini
[emoji39]Aiseee
Iko Kibamba Mwisho (Hondogo) - 3Kms kutoka Morogoro road.
Pamepimwa na pana beacons.
Nyumba ni very Executive yenye vyumba vitatu, 2 Master bedrooms, AC, Heaters, Garden, Paving blocks.
Imezungushwa uzio wa kisasa unaowaka taa za kisasa usiku.
Ina mabanda yako kwa mbali kwa ajili ya kufuga.
Inafaa kwa ajili ya Petrol Station, Apartments, Garage, Mall, Shule, Ofisi za kisasa, hospitali, etc.
Ina nyaraka zote halali na sio mali ya kurithi.
Mawasiliano: 0717 650800
View attachment 2227922View attachment 2227923View attachment 2227924View attachment 2227926View attachment 2227927View attachment 2227928View attachment 2227929View attachment 2227931View attachment 2227932View attachment 2227933View attachment 2227934
Sikuelewi unazungumzia kitu gani? Kama huna lengo la kuharibu biashara yangu, hebu nipigie 0717 650800 tuzungumze [emoji1666]Grand vila house, unadaiwa nabank fedha nyingi sana. Mkopo mmelipa? Nimeuliza Ili tuwasiliane na bank kulinunua kuliko kupitia kwa madalali.
Kama zile za Kennedy's Compound kule Hyannis Port,Massachusetts Marekani,zimejengwa mwaka 1904 lakini still hadi leo hii zinaonekana kama za leo aisee.Wazungu sijui huwa wanafanyaje unaweza kuona nyumba ilijengwa miaka 100 iliyopita but mpaka sasa ni nzuri,huwa napenda sana ujengaji waoView attachment 2231401
View attachment 2231402
Mzee wakutia supu nazi ushawasili.Grand vila house, unadaiwa nabank fedha nyingi sana. Mkopo mmelipa? Nimeuliza Ili tuwasiliane na bank kulinunua kuliko kupitia kwa madalali.
Hata mm huwa sielewi wanafanya fanyaje aisee mpaka nyumba isichakae [emoji848]Kama zile za Kennedy's Compound kule Hyannis Port,Massachusetts Marekani,zimejengwa mwaka 1904 lakini still hadi leo hii zinaonekana kama za leo aisee.
Acha tu aisee[emoji848]Mzee wakutia supu nazi ushawasili.
Eneo ni wapi hapo?625 Square Metres