Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
IJUE MECHI YA KWANZA KUONYESHWA KWENYE TV.
Mechi ya kwanza kuonyeshwa kwenye Tv ilikua ni timu ya Arsenal vs Arsenal.
Hapo namaanisha ilikua ni mechi zidi ya kikosi A cha arsenal na kikosi B (kikosi cha akiba).
Ilikua mwaka 1937 mechi hiyo ilionyeshwa mubashara BBC.
Hivyo Arsenal ndo timu ya kwanza kuonyeshwa kwenye TV.
Mechi ya kwanza kuonyeshwa kwenye Tv ilikua ni timu ya Arsenal vs Arsenal.
Hapo namaanisha ilikua ni mechi zidi ya kikosi A cha arsenal na kikosi B (kikosi cha akiba).
Ilikua mwaka 1937 mechi hiyo ilionyeshwa mubashara BBC.
Hivyo Arsenal ndo timu ya kwanza kuonyeshwa kwenye TV.