Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Andika na kwa mchepukio pia kwakuwa madhara ni koteSalamu kwenu wa JF wote!
Kwako Mwanaume mwenye Mchepuko.
Mwanaume una Mchepuko tena ni Single Mother, unamhudumia vizuri kila kitu anapata lakini hutaki afanye kazi yoyote wala Biashara huo ni wivu au ndiyo kupenda sana? Je, unafikiria hatma ya huyo Mchepuko kwa maisha ya baadaye?
KumbeHatma ya mchepuko anapaswa kuiwaza mchepuko mwenyewe.
Na mimi nakusubiri wewe ushushe zakoNimesogeza kigoda changu kabisa niko tayari kumsoma DeepPond akishusha nondo
Me ninachojua kwa asilimia 90 hakunaga future kwa mume au mke wa mtu.Na mimi nakusubiri wewe ushushe zako
Mchepuko waga hauamini ndo shida inaanzia hapoMe ninachojua kwa asilimia 90 hakunaga future kwa mume au mke wa mtu.
Ni mtu mwenyewe tu anapaswa kujipanga ajue baadae itakuwaje
Tatizo ni lake na sio lako. Kwamba anataka ndoa au?Mchepuko waga hauamini ndo shida inaanzia hapo
Ee sure hivi watu akili zinaendaga wapiTatizo ni lake na sio lako. Kwamba anataka ndoa au?
Atakuja kustuka mda ushapita