Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

Haya mambo nyie yaskieni tu..

Ilikuwa mwaka jana nilikutana na pisi moja la Kinyiramba..

Toto limekuja mijini kufanya kazi, limetokea singida..

Basi muhuni sikutaka kupoteza muda. Nikatoa miahadi ya ndoa kama yote. Toto likanielewa

Tukapanga siku ya mechi, hao paka getho. Aisee kwa hakika toto liliumbika vya kutosha. Chezea sana. Kila nikijaribu kupenyeza mkunyenge chuma kinalala..

Mapigo ya moyo yakaenda mbio. Nikaanza kutia huruma. Toto likaniuliza ' vp my unatatzo '

Dah.. Ilinibidi tu niage niondoke zangu.

Dah sitasahau..
 
Mimi siku hiyo kimoko tu dakika 3 then baada ya hapo mzee akagoma kabisa kusimama mazima papasa weee wapi..nyonyaa we wapi. Ikabidi nami visingizio vya kuwa sijala viwe vingi....ila nilipata rematch siku nyingine....wala sikufanya kosa heshima ikarudi
 
mie ilinikumba hiyo kitu ila katika hali tofauti na wengine maana mie huyo demu nilimla fresh mara ya kwanza halafu siku nyingine nikapata safari ya kikazi kwenda Mbeya na staff wawili na dereva so demu nikampandisha kwenye New Force toka Dar akaingia Mbeya kama saa nne hivi sie tuliwahi kama saa moja usiku. So nikawa namsubiri ile minyegere si nikapiga puchu bao moko. Mwanangu demu alivyofika kila nikimchezea kitu hakiamki nimehangaika kitu wapi sasa na ule uoga na baridi la Mbeya yaani ilikuwa aibu

Demu alikuwa anashangaa tu anauliza una tatizo gani yaani nilifedheeka sana. Baadae nikapata akili ya kuzama chumvini maana siku ya kwanza nilimzamia alikuwa anapagawa mpk macho kama kiini kinapotea hivi so mzee nikala chumvi mpk demu analia nitiee nitiee.

To cut story short ni kwamba kitu akikuamka mpk usiku tumelala karibia na asubuhi ndio network ikakamata nikapiga mashine fresh na tulikaa pale siku 3, nilikula mzigo mpk nikapata maumivu ya pumbu
 
Aisee kuna kipindi cha miaka kama 4 nyuma nilioiga show mbovuu haswaa mpaka najionea huruma

Mtoto alitoka kwai kaja mpaka mbezi gana neno na sijawahi tongoza wala kuomba mzigo tukapiga story sana na vinywaji mezani nkamtest kama freequency zipo nashika mtoto tuliii nkajisema kimoyooo oyooo
Zile papara na kimuhemuhe si kugusa tu wazungu haooo dah
Ikawaje sasa mkuu
 
Aisee show mbovu zipo. Kuna hiyo show ilivoisha nikajiuliza sasa hii dhambi ya uzinzi nimeipata bure tu hata sijafaidi kitu. jamaa alinichosha halafu hamna kitu. Nilijuta kujiongezea body count kwa show ya kijinga ya yule mwarabu. Pumzi hana, kibamia alafu mfupi.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Me sijawah ona pussay mashine ikawa inasikizia kwenda mnara yan naweza nkawa namwangalia tu mwanamke mshipa ukastuka kidogo mpaka kuna muda huwa nahis ni ugonjwa, namla mtu saivi vilivyo...nikitoka nje nkimwona mtu namtamani kidudu kinastuka kidogo daaah, yan nione mashine kidudu kisisimame labda niwe nimekwea mnazi vitatu aisee
 
Wakuu mimi naomba niseme ukweli. Kuna mchepuko wangu mmoja niko nao zaidi ya miaka miwili sasa. Huyo demu ni mzuri kinoma kuanzia sura hadi shepu kwani ana kiuno chembambaaaa na boonge moja la kalioo!!
Cha ajabu sasa, yaani katika miaka yote miwili niliokaa na huyo demu sijawahi kupiga nae shoo ikawa ya maana hata mara moja! Kila nikikutana nae hua naishia kupiga shoo ya hovyo sana mpaka najishangaa. Nimeshajaribu kumpiga chini kwa aibu mara kibao ila hua ananitafuta kwa bidii sana na kulia mpaka tunarudiana sasa namshangaa hua ananipendea nini? Hela sina za kumpa, shoo ni ya hovyo sana ila yupo tu!
Cha kuchekesha sasa, hapo katikati nimeshakua na uhusiano na mademu wengine wawili. Aisee nikikutana na hao mademu shoo ninayoporomosha hua ni ya kiwango cha SGR mpaka kuna mmoja anasema hua natumia dawa!
Yaani hapa nilipo natamani niwakutanishe hawa mademu wawili na yule mmoja ili wamhadithie mambo yangu maana nahisi atakua ananionaje sijui.
 
Wazungu muda mwingine wanazingua sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hon Nkundwe,

Mkuu wazungu sio watu wazuri kabisa.😁

Nakumbuka kuna kadem flani nilikaopoa aisee katoto kalikua kazuri kale halafu kadogodogo tu. Basi siku hiyo nikakaomba outing kakakubali tutoke out mida ya jioni. Sasa sehemu tuliyopanga kwenda nadhani kulikua na sherehe so ndani kumejaa kinoma hata parking hamna. Mi nikapaki nje pembeni ya barabara kwenye kagiza nikaenda kuchukua vinywaji tukawa tumekaa siti ya nyuma tunapiga vyombo na stori mbili tatu.
Huku na huku nikaanza mauchokozi yangu nikaanza kukachezea pale nyonya mate sana, chezea vichuchu daah katoto kakapagawa..! Kalikua kamevaa sketi nikaipandisha kidogo nikaingiza mkono nikaanza kuchezea mapaja yake malainii huku naelekea ikulu.. Nakuta katoto kameshalainika kameloa chapachapa nikasema huu ujinga. Nikakavua chup* pale pale nikakalaza kwenye siti mzee nikachomoa dushee.
Ile dushe limegusana tu na mapaja na lile jotojoto yaani hata k sijaigusa WAZUNGU HAWA HAPAAA..!!!! 😡😡 Daaaah!! Aisee kale kademu kaliachia sonyo moja la haja kanaanza kuni mind kwa kukachafua. Kwakweli nilifedheheka sana ikabidi nikarudishe tu hostel.
Ila Mungu hamtupi mja wake kalikujaga kunipa tena gemu safari hii sikufanya makosa nilikanyoosha hatari ikawa ndio mchezo wetu mpaka kalipohama mkoa.
 
Mi nakumbuka miaka ya nyuma huko kuna Binti mmoja nilikuwa na mtunuku kweli kweli. Kwa sababu alikuwa wa kipekee kuanzia unyayo hadi kichwani,yaani tako tako kweli, hips hips kweli, kiuno kiuno kweli,midomo midomo kweli ukija kwenye sura na tabasamu sasa, ni tabasamu kweli. Asikwambie mtu hata kama mwanaume bahiri vipi yule demu akikuangalia tu na akahamua kukuomba Elfu 50 hutaona kama haimtoshi utampa laki moja au zaidi aisee.

Nilimkomalia sana ni mgegede ila nillishia kwenye Romance tu, papuchi alinigomea kabisa kunipa,maana alidai anajamaa yake anampenda sana. Sasa siku moja akawa sijui ametibuana nini na msela wake akaja Gheto ila nashangaa siku iyo akaonyesha ushirikiano wa kutosha ila Abdallah aligomaa kabisa kusimama chezea wapi, nyonya wapi. Sababu kubwa ya kutokea ivyo ni mapigo ya moyo yalikuwa yanakwenda kasi mno kwa sikuamini kama yule demu alinivulia nguo nimgonge nikambwela hadi asubui ngoma iligoma katakata na siku iyo alikuwa anasafiri kwenda kwao. Nilipata aibu ya mwaka siku iyo sitasahau hadi leo japo nilijitetea Kibaharia lakini kichwani mwangu nilijua demu hajanielewa.

Kama week hivi moja Demu wangu wa siku nyingi alikuja nikapiga bao tano, nikajua ni hali tu ya kawaida ilitokea sio kuwa nishakuwa anisi..
Baada ya mwezi demu alirudi nikabembeleza akawa anachomoa kunipa mzigo maana walikuwa washa solve ugomvi wao na jamaa yake baaada ya kukomaa akaamua kunipa tu kwa kishingo upande.Nilimgegeda yule demu round moja tu lakini yeye alifika kileleni zaidi ya mara tatu mi ndio bado hata sijapiga bao moja. Round ya pili yeye kashamaliza mimi bado yaani nadhani hadi chumba kilikuwa kinanukia kama mtu anachoma nyama. Kwa shughuli ya siku ile hadi leo akiniona anapita njia nyingine na namba yangu kaifuta.
 
Back
Top Bottom