G11
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 225
- 61
nimesikia hauwezi kugundua kitu chochote duniani kama hujasoma kaballah.wanasayansi wote ukianzia Newton hadi Einstein wamesoma kaballah.kama unataka kuunganishwa na nuru lazima usome kaballah.Ukitaka kujifunza unatakiwa uwe na umri si chini ya miaka 40.:flame: