nimesikia hauwezi kugundua kitu chochote duniani kama hujasoma kaballah.wanasayansi wote ukianzia Newton hadi Einstein wamesoma kaballah.kama unataka kuunganishwa na nuru lazima usome kaballah.Ukitaka kujifunza unatakiwa uwe na umri si chini ya miaka 40.:flame:
Kaballah ndio nini?
Kabbalah is an ancient wisdom that reveals how the universe and life work. On a literal level, the word Kabbalah means to receive. It's the study of how to receive fulfillment in our lives.
source:What Is Kabbalah? | The Kabbalah Centre
1.Faida zipo kujua sayari zipo tisa-NewtonInafaida gani?
1.Faida zipo kujua sayari zipo tisa-Newton
2.Mwendo kasi wa nuru na matumizi katka kutambua atom zimejipangaje kwenye materials tofauti kwa kutumia electrodispersive X-ray(EDX).
3.Kufanya meditation to be connect ed with light.there are so many advantages brother
watu maarufu wanaosali hiyo dini ni kama vile Bill Clinton,Madona and so many celebrities
kaballa is a Cult1.Faida zipo kujua sayari zipo tisa-Newton
2.Mwendo kasi wa nuru na matumizi katka kutambua atom zimejipangaje kwenye materials tofauti kwa kutumia electrodispersive X-ray(EDX).
3.Kufanya meditation to be connect ed with light.there are so many advantages brother
watu maarufu wanaosali hiyo dini ni kama vile Bill Clinton,Madona and so many celebrities
Indeed it is more than thatkaballa is a Cult
Hivi kumbe ni dini?1.Faida zipo kujua sayari zipo tisa-Newton
2.Mwendo kasi wa nuru na matumizi katka kutambua atom zimejipangaje kwenye materials tofauti kwa kutumia electrodispersive X-ray(EDX).
3.Kufanya meditation to be connect ed with light.there are so many advantages brother
watu maarufu wanaosali hiyo dini ni kama vile Bill Clinton,Madona and so many celebrities
Sasa mkuu!!??nimesikia hauwezi kugundua kitu chochote duniani kama hujasoma kaballah.wanasayansi wote ukianzia Newton hadi Einstein wamesoma kaballah.kama unataka kuunganishwa na nuru lazima usome kaballah.Ukitaka kujifunza unatakiwa uwe na umri si chini ya miaka 40.:flame:
Sasa mkuu!!??
Pamoja na kwamba sijajua kama hiyo Kabbala ni dini au somo, nauliza tunajifunzia wapi sasa hiyo Kabbala!??, wanafundisha wapi??
Jaribu kufafanua zaidi juu ya hiyo kabbalah je tutaipataje wewe umeisoma? na ikiwa umeisoma embu dadavua kuna nini ndaninimesikia hauwezi kugundua kitu chochote duniani kama hujasoma kaballah.wanasayansi wote ukianzia Newton hadi Einstein wamesoma kaballah.kama unataka kuunganishwa na nuru lazima usome kaballah.Ukitaka kujifunza unatakiwa uwe na umri si chini ya miaka 40.:flame:
1.Faida zipo kujua sayari zipo tisa-Newton
2.Mwendo kasi wa nuru na matumizi katka kutambua atom zimejipangaje kwenye materials tofauti kwa kutumia electrodispersive X-ray(EDX).
3.Kufanya meditation to be connect ed with light.there are so many advantages brother
watu maarufu wanaosali hiyo dini ni kama vile Bill Clinton,Madona and so many celebrities