Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Alitumwa akanunue kiberiti,chumvi,pipi na bamia na chenji irudi.Ameenda anaimba njiani huku anacheza.Matokeo yake amefika dukani amesahau vyote na hela kadondosha njiani.Ulitaka kuandika nini? mbona umepotelea njiani? ni bora usiangeanzisha thread ambayo umeshindwa kutowa maelezo ya kutosha.