Je unajua kua listerine inatumika katika matumizi mengi?soma hapa

Huo udongo ntaupataje na being gani?
 
tuwekee picha tuone inavyopakwa kwenye mapaja!
 
Hahaha hii ni ahadi ya maandishi. Tena naamini utaipika kwa mkono wako [HASHTAG]#tehtehte[/HASHTAG]. Shahidi dada [HASHTAG]#FaizaFoxy[/HASHTAG]
[emoji23]Usinibebeshe dhambi banaaa,nkija ntakuletea nsipokuona je,ntaigawa
 
[emoji23]Usinibebeshe dhambi banaaa,nkija ntakuletea nsipokuona je,ntaigawa
[emoji23] Dhambi ni kutonibebea zawadi zangu,Ukigawa ahlan wasahlan, angalau utalipwa kwa nia yako [emoji23] Na kwanini tusionane? Kumbuka nina zwadi zako pia [emoji23]
 
[emoji23] Dhambi ni kutonibebea zawadi zangu,Ukigawa ahlan wasahlan, angalau utalipwa kwa nia yako [emoji23] Na kwanini tusionane? Kumbuka nina zwadi zako pia [emoji23]
Zawad gan!!![emoji54] nambie kwanza,nkizipenda zawad zako itabid nije
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…