Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.

Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=

Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.

Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.

Nawasilisha!!!
Huyo wa 30,000 wa nin wakati wapo wa buku 2? Hujui viwanja? Hizo gharama za stress ni kubwa zaidi ya hicho unachokisema
 
Cku iz hatuoi but tunaoana bcz kushare majukumu ndio habar ya mjin
 
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.

Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=

Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.

Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.

Nawasilisha!!!
Kwani hiyo 30,000 kwa unaemnunua huwa unaitoa kila siku
 
Kaka mi naona wanawake wamekutuma uwapigie promo au labda wewe ni mmoja wao, umeangali gharama kwa pesa , unajua gharama ya stress, unajua gharama ya usaliti, unajua gharama ya matumizi ya kila siku, yani we usiongee kabisa
Sijatumwa ila Barobaro wanalalamika sana wanapigwa mizinga unamkuta kijana anaingia gharama ya zaidi ya 500000/= kwa ajili ya salon kwa mwezi Acha Vocha, Out, Shopping unamkuta kijana anaingia gharama ambazo bora angelipia Mahari angechukua mtoto Jumla jumla
 
Anaeingia gharama yule alieoa kuna vitu vyingi unatakiwa umuudumie mwanamke. Lakini hawa wanaokamata vimada wanaelewana wanamalizana cku iyo iyo.
Zidisha kwa Mwezi au kuangalia Mara Moja!!
 
Huyo wa 30,000 wa nin wakati wapo wa buku 2? Hujui viwanja? Hizo gharama za stress ni kubwa zaidi ya hicho unachokisema
Sawasawa Papuchi buku 2 na Ukimwi wa Laki 500000/= + Full stress umeukwa kijana under 25 unategemea nn wazungu wanasema

"Cheap Thing some time is expensive "
 
Oa ujue ukweli kwa taarifa tu wanaoongozwa kunyimwa unyumba ni wanaume walio ndani ya ndoa na pia wanaume waliooa akiwa na 10000 basi atatumia 1000 iliyobaki wife!
Kuoa kusikie hivyo hivyo kama akili yako ime base kwenye pesa na kugegeda tu!
Kuoa zaidi ya hayo ukiwa sio makini mkeo atajenga nyumba kwao wakati hana kazi na wewe umepanga!
Hiyo ni dhana yako Tu!!! Na haiko sahihi vijana inaonekana Mmeridhia kuchunwa mwisho wa siku full madeni mtaani kisa eti una mtoto mkali unagharamia!!!
 
Zidisha kwa Mwezi au kuangalia Mara Moja!!
Kwani ukioa unakua unapewa kila siku? Hivi unajua ukioa tendo la ngoa unaweza kulipata kwa mwezi mara nne, wanawake wengi uwa wanazani kuwanyima unyumba wanaume wao ndio njia sahihi na ndio siraha yao kubwa kwenye ndoa. Unaweza kuoa ukazani utapewa unyumba kila siku matokeo yake yanakua tofauti unavyofikilia
 
Hiyo ni dhana yako Tu!!! Na haiko sahihi vijana inaonekana Mmeridhia kuchunwa mwisho wa siku full madeni mtaani kisa eti una mtoto mkali unagharamia!!!
Kama hujaoa utadhani ni dhana tu mark huu siku ukioa njoo tuendelee na mjadala!
 
Sawasawa Papuchi buku 2 na Ukimwi wa Laki 500000/= + Full stress umeukwa kijana under 25 unategemea nn wazungu wanasema

"Cheap Thing some time is expensive "
Na huyo wa 30 hawezi kukupa? msingi hapa si kumtazama mwanamke kwa njia ya fedha kama mtoa mada anavyosema, ila ujue hata stress in gharama kubwa zaidi ya ukimwi
 
Kama hujaoa utadhani ni dhana tu mark huu siku ukioa njoo tuendelee na mjadala!
Hapana mm na kwambia kitu halisia ivi ukilala na Mkeo na Hawa madada poa wapi mtu unakata kiu yake!!!
 
Kuowa raha ukimpata akupendae kwa dhati utaona wew tajiri na kumbe maskini omba Mungu kwa hilo
 
Gharama na kifo kipi bora? Waliyooa wanakufa mapema kuliko wasiyooa.
 
Back
Top Bottom