Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Kwani kuoa au kuolewa ni ngono peke yake... Kuna mambo mengi sana ndani yake..

1. Chakula kila siku.
2. Matibabu kila anapoumwa. Akiumwa magonjwa makubwa ujiandae.
3. Malazi. Nikimanisha kodi ya nyumba au mahala pa kuishi.
5. Matumizi yake ya kila siku au week au mwezi.
6. Wazazi kuwakumbuka kumbuka.


Ni gharama sana. Ambae hapatwi na hizo gharama ni yule atakayekuwa anakuchapia mkeo...


Kama unaamua kuoa wewe oa ukijiandaa ila siyo kwa kusema ati unaoa kisa free p... Unajidanganya...


Ukioa mpende mkeo, muhudumie, mlinde, mtunze... Ila siyo kwa fikra za kupata free p.. Gharama zipo tena kubwa... Tena kuliko hata hao wa one night stand...


Cc: mahondaw...
 
Kwani kuoa au kuolewa na ngono peke yake... Kuna mambo mengi sana ndani yake..

1. Chakula kila siku.
2. Matibabu kila anapoumwa. Akiumwa magonjwa makubwa unjiandane.
3. Malazi. Nikimanisha kodi ya nyumba au mahala pa kuishi.
5. Matumizi yake ya kila siku au week au mwezi.
6. Wazazi kuwakumbuka kumbuka.


Ni gharama sana. Ambae hana gharama ni yule atakayekuwa anakuchapia mkeo...


Kama unaamua kuoa wewe oa ukijiandaa ila siyo kwa kusema ati unaoa kisa free p... Unajidanganya...


Ukioa mpende mkeo, muhudumie, mlinde, mtunze... Ila siyo kwa fikra za kupata free p.. Gharama zipo tena kubwa... Tena kuliko hata hao wa one night stand...


Cc: mahondaw...
Hapana Sio Sahihi kwa mfano mm naweza nkala na mke wangu chini ya Elfu 10000 kwa Siku sasa niambie wewe ukitoka Na Kisister Du cha mjini Mpo Out kima chachini mtakula Tsh ngapi
 
Mkuu hawa vijana huwa hawanunui papuchi kila siku huenda kwa week Mara mbili na ndio analipia hiyo elfu 30.

Ila gharama zetu za kodi ya meza daily ukiwa na familia ya kawaida chini ya mtoto mmoja unatumia hiyo hela au elfu 15 per day.

So usiwadanganye vijana wakaingia mwisho watakuona wewe ndio uliwaangiza cha kike.
 
Hapana Sio Sahihi kwa mfano mm naweza nkala na mke wangu chini ya Elfu 10000 kwa Siku sasa niambie wewe ukitoka Na Kisister Du cha mjini Mpo Out kima chachini mtakula Tsh ngapi
Elfu10 kwa siku inakuwaje?
1.Nauli ya kazini kwenda na kurudi.
2. Chakula kazini.
3. Vocha kwa siku.
4. Emergency money.
5. Chakula nyumbani.

Hiyo elfu10 inatosha kweli?? Sawa letd say unatumia elfu10 kwa siku. Kwa mwezi laki3.


Ukaamua kuchukua hiyo laki3 ukatoka na mwanamke kwa siku hiyo.. Haiweziisha...


Cc: mahondaw
 
1.6m ya mahari kwa kipindi hichi ni kukomoana tu,walau ungesema 500k.
 
Kwani kuoa au kuolewa na ngono peke yake... Kuna mambo mengi sana ndani yake..

1. Chakula kila siku.
2. Matibabu kila anapoumwa. Akiumwa magonjwa makubwa unjiandane.
3. Malazi. Nikimanisha kodi ya nyumba au mahala pa kuishi.
5. Matumizi yake ya kila siku au week au mwezi.
6. Wazazi kuwakumbuka kumbuka.


Ni gharama sana. Ambae hana gharama ni yule atakayekuwa anakuchapia mkeo...


Kama unaamua kuoa wewe oa ukijiandaa ila siyo kwa kusema ati unaoa kisa free p... Unajidanganya...


Ukioa mpende mkeo, muhudumie, mlinde, mtunze... Ila siyo kwa fikra za kupata free p.. Gharama zipo tena kubwa... Tena kuliko hata hao wa one night stand...


Cc: mahondaw...


That's why I love you my lovely super Dear Smart911

You see internationally ,
You are a responsible Head of family ,
You are a kind of man every woman would like to have
Hakyamungu umenishhhhika dah

I'm so lucky
Lol
Wacha nifunge domo langu
 
Mkuu hawa vijana huwa hawanunui papuchi kila siku huenda kwa week Mara mbili na ndio analipia hiyo elfu 30.

Ila gharama zetu za kodi ya meza daily ukiwa na familia ya kawaida chini ya mtoto mmoja unatumia hiyo hela au elfu 15 per day.

So usiwadanganye vijana wakaingia mwisho watakuona wewe ndio uliwaangiza cha kike.
Bado wako kwenye risk unakuta kijana anaenda kutembea na binti ambaye kauza kwa watu zaidi ya 100 halo usiulize magonjwa ambayo yanaweka yakamgarimu maisha yke yote kisa eti round moja ya Short time wakati ukiwa umeoa hata mkila miogo ya buku haki yko iko palepale mpaka ukinai ww uoni kuoa ndo mpango mzma
 
That's why I love you my lovely super Dear Smart911

You see internationally ,
You are a responsible Head of family ,
You are a kind of man every woman would like to have
Hakyamungu umenishhhhika dah

I'm so lucky
Lol
Wacha nifunge domo langu
[emoji8] kaa kimya hivyo hivyo... Ssshhhh usiongee sana... Super dear... Love you even more mahondaw
 
Mkuu unategea uozeshwe mtoto wa kitanga tena Zero point Five kwa laki 5?
Tumeoza dada yetu fresh outa medical school na masters ya udakitari kwa mahari ya misahafu kumi tu,tena mrembo na mtu wa dini,hizi mahari za kupanga wazazi ndo huchangia watu kushindwa kuoa,you cant put a price tag on a woman,yeye ndo achague mahari,na ukiona mwanamke anaropoka hela kubwa kuliko uwezo wa mwenza wake ujue kuna tatizo,eidha shinikizo la wazazi au yeye mwenyewe hana mapenzi
 
Oeni jamani...Sasa mkikimbia gharama tutaolewa na Nani?
 
Tumeoza dada yetu fresh outa medical school na masters ya udakitari kwa mahari ya misahafu kumi tu,tena mrembo na mtu wa dini,hizi mahari za kupanga wazazi ndo huchangia watu kushindwa kuoa,you cant put a price tag on a woman,yeye ndo achague mahari,na ukiona mwanamke anaropoka hela kubwa kuliko uwezo wa mwenza wake ujue kuna tatizo,eidha shinikizo la wazazi au yeye mwenyewe hana mapenzi
Sawa lakini Uislam haujaweka kikomo cha Mahali kwa mfano Zanzibar kuoa Kwa M3 ni kitu cha kawaida mahali kama hiyo na mm nimesha shuhudia kijana mmoja wa Udom uliozeshwa kwa mahari ya elfu 20 tena kwa mtoto wa Millionaire kwaiyo Suala la Mahari inategemea na Binti mwenyewe anataka kuolewa kwa Tsh ngap?
 
Oeni jamani...Sasa mkikimbia gharama tutaolewa na Nani?
Ndo hapo sasa tena waambieni hawa Mabarobaro tumechoka kuona post Oh jaman kuna binti namgharamia lakin hataki kunipa nanii? Ooh jaman uko sio kuchunwa? Tumezichoka Post hizo
 
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.

Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=

Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.

Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.

Nawasilisha!!!

KAMA UNAOA ILI UPIGE MZIGO UMELIWA WEWE! UNAWEZA UOE VIZURI NA MZIGO USIPATE MWAKA!
 
Gharama ya stresss ni kubwa mno mi nina mke na leo siku ya nne hatuongei na no mzigo hadi nimeamua kudafiri kwanza
 
Ha ha ha ha ha nimecheka sana aiseee 215/= unakula raund nne saf na cha asbuh bureee
 
Back
Top Bottom