Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.

Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=

Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.

Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.

Nawasilisha!!!
Mshamba wewe Unapiga hesabu ya mahari tu,
Na mahitaji mengine ahudumie nani!?
 
Mshamba wewe Unapiga hesabu ya mahari tu,
Na mahitaji mengine ahudumie nani!?
Bado gharama yake IPO chini na ni Salama zaidi kuliko kupalamia Makahaba waliokubuhu alafu ww ukaenda kujitosa mzma mzma eti una kinga uwo ndio ushamba au nimegusa Interest zako?
 
[emoji3][emoji3][emoji3]. Mbona unawaita wenzio anza wewe.
[emoji121]
NOMESH'TUKA ANA WATOTO KADHAA HUYO,

HIVYO KWA HUU UCHUMI KIPENGELE CHA KUWALEA TUTALAUMIANA BURE HAPO!
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.

Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=

Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.

Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.

Nawasilisha!!!
Umetumwa ww uoe kwa wanawake gan ambae hawajui umuhimu wa ndoa na hawajui umuhimu wa mume!!!! 50%-50% na wao waoe kwan raha anapata mwanaume pekee
 
Bado gharama yake IPO chini na ni Salama zaidi kuliko kupalamia Makahaba waliokubuhu alafu ww ukaenda kujitosa mzma mzma eti una kinga uwo ndio ushamba au nimegusa Interest zako?
Hujanigusa ila umenikera na kauli ulizotumia katika uzi wako halafu unajiita as salafiyyu.
 
Kuna maneno mengi ya kistaarabu
Oa upunguze gharama
Oa ufurahie ndoa muda wote na saa yoyote.
Mm nmefanya uchumi tu wa maneno lakin maana yangu haikuwa mbaya naomba usini tafsiri tofauti?
 
Mi si tetei na wala sipendi kwanza ningekua na uwezo ningewaozesha wote ambao hawajaoa hahaahaa.... Ila kauli zako ndio sio nzuri.
Du jaman mbona huu mtihani lugha niliyoitumia ni kwaajili ya vijana ili wanielewe Vizuri tatzo ww umeni tafsiri tofauti?
 
Back
Top Bottom