KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai.Chips zimeanza lini kushibisha.? Wasukuma wanakula chips kama mboga, yaani, unasongwa ugali, halafu dogo anatumwa akanunue chips, tonge la ugali linasukumiwa na tupande tuwili twa chips
Hujafika Usukumani wewe.Chai.
Ndo umdanganye sasaHujafika Usukumani wewe.
Kama hajafika, amedanganyika nini? Afike kwanza ndipo atajua mbichi na mbivuNdo umdanganye sasa
Samahani mkuu...Chips kwa kuku unashiba kabisa na unalala fofofo.
Jina Kiboboli!, huyu ni ke!Samahani mkuu...
Weni Me au Ke...🤔
We sasa ndo unaharibu,ha ha ha.Ni kheri Nile ugali na chapati, kuliko ugali na chipsi yai.
Kwa mwanamke wa mjini sawaChips zinashibisha
Hehehe!!!Mimi naona zinaongeza nyege tu
Kutokana na kichwa cha mada mtoa mada kakosa picha inayo endana na madaInaongelewa crips ila wabongo wanajua chips hizi za kawaida.