Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
What are cripsInaongelewa crips ila wabongo wanajua chips hizi za kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What are cripsInaongelewa crips ila wabongo wanajua chips hizi za kawaida.
Chunguza mkuuHehehe!!!
Mimi siku hizi mchana nakula mihogo ya kukaanga usiku chipsChunguza mkuu
Na unalala vizuri kabisaMimi siku hizi mchana nakula mihogo ya kukaanga usiku chips
KivipNa unalala vizuri kabisa
SawaKivip
Nina siku moja sijala chips na samaki 😂Nina miaka 6 sijala chips
Mwachiluwi ukweli ndio huo!Nina miaka 6 sijala chips
Mwachiluwi achana na chipsNina siku moja sijala chips na samaki 😂
Zina shida? Sio mara zote nakula noMwachiluwi achana na chips
Samahani mkuu milembe unapajua? Je upo milembe day au boarding?Hujafika Usukumani wewe.
Njoo geto leo nikununulie chips kuku na juisi.Acheni hizo chips kuku unashiba kabisa
Ahaa kumbe njoo geto basi leo nikununulie chips kuku.Mimi siku hizi mchana nakula mihogo ya kukaanga usiku chips
Tangawizi baada ya Chai tumekaa Bariadi mpaka Itilima huko Sengerema ndani ndani hio haipoHujafika Usukumani wewe.
Mwaya kula kwa Raha zako kwanza maisha yenyewe mafupi tunakufa mapema😄Zina shida? Sio mara zote nakula no
Eti na unalala vizuri 😅😅😅 unahisi hata lala usiku kwa ajili ya njaa au tumbo litamuuma 😅😅😅Na unalala vizuri kabisa
Mimi naona zina letesha nyege nikila usiku silali nasumbuka sanaEti na unalala vizuri 😅😅😅 unahisi hata lala usiku kwa ajili ya njaa au tumbo litamuuma 😅😅😅
Freshi tuu,una nimudu lakini?Njoo geto leo nikununulie chips kuku na juisi.