Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,528
Wanawake wa kiafrika jikomboeni. Achaneni na mawig. Mbona hatuoni wazungu au wahindi wakivaa mawingi ya kiafrika? Acheni kasumba ya kufikiri mkivaa mawig ndio mnakuwa wazuri. Mimi binafsi mwanamke akisha vaa wig huwa namshusha thamani kabisa kwasababu haonekanai katika uasili wake.
not in large no though....