Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Hii stori sio ya kahawan. Ni kweli ipo na inatunza zaidi mbegu zilizokaushwa. Hii stoo inamilikiwa na mtu binafsi. Mtu binafsi, kampuni au nchi ruksa kutunza mbegu zake huko ilimradi unalipia.Hii sio kweli!
Ni kitu ambacho hakiwezekani kukusanya Mbegu eti za Mimea yote Duniani...
Kukusanya baadhi sawa ila sio yote.
Story za Kijiwe cha Kahawa.