Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Duh! Je na wao hakuna gharama ya kuwalipa?Wewe ndiyo hujaelewa mkuu
Elfu30 ni mali uliyonayo wewe na serikali yako imeona itunge sheria kwamba ikiwa unahama kutoka sehemu moja kwenda nyingine na unakiasi kuanzia hicho cha pesa basi waweza kuwataarifu polisi wakupe escort for free mpaka unapoenda