Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
kumbe hayupo mpaka uanze kusachisearch kitu kinaitwa brotherhood of cross and star
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe hayupo mpaka uanze kusachisearch kitu kinaitwa brotherhood of cross and star
sijakataa but mighty mighty jehovah incarnate as Jesus now as OOOYAHUSHA HAMASHIACH (Jesus Christ) ni code name ya kila mtu aliyempokea kama YHWH
Yaani anakaa ndani ya wale waliompokea so Duniani kina YAHUSHA ni wengi bila idadi so hata mimi ni Black YAHUSHA (Jesus Christ)
aliyepo phyiscally hakuna haja ya kugugo angeonekana mzee mbona akina mwamposa hatugugo wapo??yupo physically wewe google kitu hiyo usome utajua
Yesu alisema atakapokuja kila jicho litamuona zingatia neno kila jicho, hao brazahudi mjomba angu huko kijijini atawasach vipi?sipo kuongea sana kwa kuwa sina uwezo huo wa kumlazimisha mtu ajue au akubaliane lakini Yesu tayar yupo duniani hapa physically ..ukitaka kujua hilo fuatilia kitu kinaitwa brotherhood of cross and star na mafundisho yao
Pombe za Xmas zishaanza kuingizwa mtaanipombe bila chakula bana
kabisa ashindweKwa jina la yesu, shindwa pepo mchafu
Huyo wa kwako wakuja kimya endelea kumuhifadhi chumbani kwako. Maana maswali haujibu unaweweseka Kama umekunywa chimpumukwani alisema anakujaje ? yupo hapa duniani tayari
mtu kagida KIWINGU bila mlo na hivi bia zinatoka kiwandani mbichi, tabu kwelikweli mi nakwambia walevi ni ndugu moja na wala mrungi mawazo yao ni pwagu na pwaguzi wallahPombe za Xmas zishaanza kuingizwa mtaani