Je unajua YESU physically tayari yupo duniani?

Je unajua YESU physically tayari yupo duniani?

YAHUSHA HAMASHIACH (Jesus Christ) ni code name ya kila mtu aliyempokea kama YHWH
Yaani anakaa ndani ya wale waliompokea so Duniani kina YAHUSHA ni wengi bila idadi so hata mimi ni Black YAHUSHA (Jesus Christ)
sijakataa but mighty mighty jehovah incarnate as Jesus now as OOO
 
sipo kuongea sana kwa kuwa sina uwezo huo wa kumlazimisha mtu ajue au akubaliane lakini Yesu tayar yupo duniani hapa physically ..ukitaka kujua hilo fuatilia kitu kinaitwa brotherhood of cross and star na mafundisho yao
 
sipo kuongea sana kwa kuwa sina uwezo huo wa kumlazimisha mtu ajue au akubaliane lakini Yesu tayar yupo duniani hapa physically ..ukitaka kujua hilo fuatilia kitu kinaitwa brotherhood of cross and star na mafundisho yao
Yesu alisema atakapokuja kila jicho litamuona zingatia neno kila jicho, hao brazahudi mjomba angu huko kijijini atawasach vipi?
 
Hivyo mnavyokula viwatoshe.
Bwana Yesu wetu tuachieni.
 
Pombe za Xmas zishaanza kuingizwa mtaani
mtu kagida KIWINGU bila mlo na hivi bia zinatoka kiwandani mbichi, tabu kwelikweli mi nakwambia walevi ni ndugu moja na wala mrungi mawazo yao ni pwagu na pwaguzi wallah
 
Back
Top Bottom