hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Kwa kweli nimefurahi kujua hili baada ya macho Yangu kufunguka .yupo duniani tayari ila wengi kumjua ni vigumu maana amekuja kama a blackman
Tafuta ela kwanza
Xmass na mwaka mpya zinakaribia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli nimefurahi kujua hili baada ya macho Yangu kufunguka .yupo duniani tayari ila wengi kumjua ni vigumu maana amekuja kama a blackman
Umekutana naye wapi natokea mkonze naenda town yupo mitaa gani..?sio ivyo ndugu wengi wana macho ila hawaoni but mie japo nimeona mwanga
Yuko sehemu gani? Ndiyo yule atakaye omba lift kwa Pasto pale KIA, au yuko KaweKwa kweli nimefurahi kujua hili baada ya macho Yangu kufunguka .yupo duniani tayari ila wengi kumjua ni vigumu maana amekuja kama a blackman
Mental healthKwa kweli nimefurahi kujua hili baada ya macho Yangu kufunguka .yupo duniani tayari ila wengi kumjua ni vigumu maana amekuja kama a blackman
acha kuwadanganya watu hebu soma ufunuo 1 : 7 uone inavyosema kwamba akija kila jicho litamwonaKwa kweli nimefurahi kujua hili baada ya macho Yangu kufunguka .yupo duniani tayari ila wengi kumjua ni vigumu maana amekuja kama a blackman
kabisa na akapimeMental health
HahahahaKomaa mkuu, kina kapola walianzaga hivi hivi
jamani samahani kama nimekwaza watu na dini zao ila mimi nilikuwa nawaambia wazungu hawawezi kuamini kuwa black man ndie atatawala dunia yote kupitia Jesus christ ..matter of fact kwan Jesus aliyekuja atajiita Jesus ? hapana kuna jina jipwaKUNA WATU HUMU WANABEZA DHANA "MUNGU" WAKI RELY KWAMBA DINI ZIMETOKA KWA WAZUNGU NA WAARABU.
MUNGU YUPO DAMU YA YESU KRISTO INAPONYA NA INASAFISHA KILA KITU KAMA KUNA MTU HAAMINI BASI ATAAMINI KWASABABU NINA UHAKIKA BADO HAKIJAUMANA ILA TUULIZENI SISI KILASHAWAHI KUUMANA NA TULIOMBEWA NA DAMU YA YESU ILITUPONYA NA NAANDIKA HII KITU KWA UJASIRI NA NAJIAMINI NI MUNGU NDO ALINIPONYA PENGINE NINGESHAKUFA KITAMBO AU NINGEKUWA KICHAA.
Alisema atakuja kama mwizi ..kwani alisema anakujaje ? yupo hapa duniani tayari
yupo hapa na ni ngumu kujua ukiwa na carnal mind yupo ndio anafanya kazi yake kutufanya viumbe vyote turud edenAlisema atakuja kama mwizi ..
“Sikilizeni! Nitakuja kama mwizi wakati msioutarajia. Heri watakaokuwa macho na waliovaa nguo zao. Hawatakwenda wakiwa uchi na kuona aibu watakapoonwa na watu.”
Halafu amri inakataza kuiba...Alisema atakuja kama mwizi ..
“Sikilizeni! Nitakuja kama mwizi wakati msioutarajia. Heri watakaokuwa macho na waliovaa nguo zao. Hawatakwenda wakiwa uchi na kuona aibu watakapoonwa na watu.”
Mbona kimya kimya au alivyoondoka aliacha madeni🤪😃
Sasa mbona unamuona wewe peke yako?ndio physically yupo