Safi Hapa ndio tutapata jibu hali halisi ya jamii kuhusu ndoa
Upumbavu mtupu2
USSR
Upuuzi,upumbavu na uzandiki!idiotWakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
Upumbavu vipi si ni kupiga kura? Kila mtu apige anakoona kunafaaUpumbavu mtupu
Upumbavu vipi si ni kupiga kura? Kila mtu apige anakoona kunafaa
Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
phobia pia ni tatizo la akiliUpumbavu mtupu
Mshana Jr papa ya JFWakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
Hapa hatuangalii mtu tumemtumia kama muwakilishi tu wa mawazoHuyo Robert ni Misogynist kama hamjui Mada zake zote zimelenga kuwasulubu wanawake… IDIOT
Lucy hautaki ndoa?