Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je ni MSHANA JR au ROBERT HERIEL?


  • Total voters
    136

donga

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
2,555
Reaction score
5,202
Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forums baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA

Kwa upande kataa ndoa muwakilishi ROBERT HERIEL aliandika uzi huu

"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"​


Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR Kaandika uzi huu

"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"​

 
Upuuzi,upumbavu na uzandiki!idiot
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mshana Jr papa ya JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…