- Thread starter
- #21
Kuna wengine hawafuatilii siasa ila kwa hii mada humlenga kila mtuIngependeza mada ingekuwa kataa chama kipi ccm au chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine hawafuatilii siasa ila kwa hii mada humlenga kila mtuIngependeza mada ingekuwa kataa chama kipi ccm au chadema
Wote bora Walitokea kwenye ndoa? Sio kweli kwa hili Big NONdoa Kwa malezi Bora ya vizazi vijavyo, umekuwa bora kwasababu baba Yako alioa na mama Yako aliolewa na ukalelewa hata Leo unajidai naenda na Mshana Jr
Hapa hatuangalii mtu tumemtumia kama muwakilishi t
Piga kura tu mzeeSasa tukikataa ndoa sio dunia itabaki tupu sasa sema wangeazisha kataa kumpa mwanamke hela ningewaelewa.
Hata kama sio wote lakini asimilia kubwa wametokea kwenye ndoa, wachache sana waliolelewa na singo parent waliotoboaWote bora Walitokea kwenye ndoa? Sio kweli kwa hili Big NO
Mwisho tutapata muitikio sahihi wa watu subiri mapema sanaMshana jr amepata kura zoteeee mjadala umeisha.Kama mtu anabisha ajee hapa jukwaani,mimi niko nimekaa pale.
Kabisa siwez enda kinyume cha mpango wa Mungu ni kumpa shetani nafasi hiyo ni big noNdoa ni mpango wa Mungu
wachache wameharibu na kufanya ionekane haina maana!
Binafsi nipo kwenye ndoa mwaka wa 11 sasa na ukiniuliza kama ni mbaya ntakujibu hapana,ni njema na nafurahia kuona wanangu wakikua huku wanapata upendo wote kutoka kwa baba yao,hii inawajenga kisaikolojia na kuwaondolea upweke wa kukosa mzazi mmoja!
Kikubwa ukitaka kuingia kwenye ndoa uwe na subra upate alie tayari kufanya majukumu yake kama mwanandoa na si vinginevyo,hapa haimaanishi hamtakwazana lakini yale majuto hutakaa uyapate kama shuhuda za watu humu!
Mimi nasimama na mshana,kijana KUBALI ndoa!
Ungenielewa wala usingenijibuHapa hatuangalii mtu tumemtumia kama muwakilishi tu wa mawazo
Bado Bado, wapo vijana team kataa ndoaMshana jr amepata kura zoteeee mjadala umeisha.Kama mtu anabisha ajee hapa jukwaani,mimi niko nimekaa pale.
Yes tukatae uzinzi kwa nguvu zote!!!!Mshana jr amepata kura zoteeee mjadala umeisha.Kama mtu anabisha ajee hapa jukwaani,mimi niko nimekaa pale.
Ni vizuri ungesoma nyuzi zote mbili ungegundua na yeye alikuwa na pointUngenielewa wala usingenijibu
Nakuuliza tena umenielewa?Ni vizuri ungesoma nyuzi zote mbili ungegundua na yeye alikuwa na point
Mm nachomkubali anaongea ukweli japonica katika lugha ya kikatili bila kumumunya manenoMshana ni legend wa JF ana heshima yake🫡. Ila kiukweli mimi sijawai kuona maajabu yake zaidi naweza kusema huwa sipendi ile style yake ya kurudia kilichosemwa[emoji23][emoji23] kwenye mada. Taikon ni kijana smart sana lakini hajafika level ya kuwa legend.
Mshana ni legend wa JF ana heshima yake🫡. Ila kiukweli mimi sijawai kuona maajabu yake zaidi naweza kusema huwa sipendi ile style yake ya kurudia kilichosemwa[emoji23][emoji23] kwenye mada. Taikon ni kijana smart sana lakini hajafika level ya kuwa legend.
Wote falsafa zao ni za kawaida lakini wanaweza kuzi present vizuri .
🤣🤣kwa kifupi unaenda kuwaomba wazazi wa mwanamke ruhusa wakupe mwanao are kula pesa zakoTwende pamoja ndoa zinatutoa roho wanaume miaka hii tuzikatae