Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je ni MSHANA JR au ROBERT HERIEL?


  • Total voters
    136
Hoja sio nzito kivip?

Better unakedefend upande tambua wengi wanalelewa na sio wapiga kelele na watunga stori.

Angalia poll mpaka dakika za mwisho utakuja gundua mko wachache sana na utoto ndo unawasumbua.

Nimeshaeleza hapo,
Ndoa ni muhimu na lazima Kwa mfumo wa zamani.
Lakini Kwa mfumo wa sasa na wakisasa ndoa haina umuhimu.

Mimi nazungumza mantiki, sizungumzi Kwa kuangalia Nani kazungumza au idadi ya watakaonikubalia au kunikukatalia ni wangapi, nazungumzia Uhalisia.

Uhalisia wa nikisemacho, nenda ustawi wa jamii au Mahakamani watakupa uhalisia wa nikisemacho.
Au Angalia Ndugu zako au washikaji zako kisha uje utoe hesabu hapa.
 
Nimeshaeleza hapo,
Ndoa ni muhimu na lazima Kwa mfumo wa zamani.
Lakini Kwa mfumo wa sasa na wakisasa ndoa haina umuhimu.

Mimi nazungumza mantiki, sizungumzi Kwa kuangalia Nani kazungumza au idadi ya watakaonikubalia au kunikukatalia ni wangapi, nazungumzia Uhalisia.

Uhalisia wa nikisemacho, nenda ustawi wa jamii au Mahakamani watakupa uhalisia wa nikisemacho.
Au Angalia Ndugu zako au washikaji zako kisha uje utoe hesabu hapa.
Unaposema hoja sio nzito unakosea kwa ujumla .

Kwa sababu zipo nyingi ndoa Ina misingi yake kama kawaida .

Moja ya misingi ni kwamba mwanaume ni kicwha cha familia Nina maana hapo hamna haki sawa ,sasa kama unaoa wanawa wanawake wale wenye akili kama wanaharakati wa twitter unategemea nn?

Usasa sikatai ni mwingi ila sio lazima kuenda na flow kila mtu anaweza kubaki kweny asili yake na mambo ya Kawa sasa...Tusema usasa kwa mfano kuvaaa manguo ya kuchanika kama vijana wengi ila hata wwe na akili timamu zako huwezi kukaa kwani sio nature.


Haijalishi itakuwaje ila ndoa Ina umuhimu kwanza kwa ajili ya kulinda kizazi kijacho kupata misingi mizuri ya malengo.

Wazungu wanaharibu taasisi ya ndoa ili kuharibu ulimwengu mzima ...Ukiharibu ndo hata mambo mengi ni rahisi kuharibu maana ndo msingi wa jamii zetu...kuendelea kuweka umakini kweny taasisi hii Kuna maana kubwa zaidi.

Kuyumba kwa taasisi hii ndo chanzo cha mabalaa mengi duniani.
 
Unaposema hoja sio nzito unakosea kwa ujumla .

Kwa sababu zipo nyingi ndoa Ina misingi yake kama kawaida .

Moja ya misingi ni kwamba mwanaume ni kicwha cha familia Nina maana hapo hamna haki sawa ,sasa kama unaoa wanawa wanawake wale wenye akili kama wanaharakati wa twitter unategemea nn?

Usasa sikatai ni mwingi ila sio lazima kuenda na flow kila mtu anaweza kubaki kweny asili yake na mambo ya Kawa sasa...Tusema usasa kwa mfano kuvaaa manguo ya kuchanika kama vijana wengi ila hata wwe na akili timamu zako huwezi kukaa kwani sio nature.


Haijalishi itakuwaje ila ndoa Ina umuhimu kwanza kwa ajili ya kulinda kizazi kijacho kupata misingi mizuri ya malengo.

Wazungu wanaharibu taasisi ya ndoa ili kuharibu ulimwengu mzima ...Ukiharibu ndo hata mambo mengi ni rahisi kuharibu maana ndo msingi wa jamii zetu...kuendelea kuweka umakini kweny taasisi hii Kuna maana kubwa zaidi.

Kuyumba kwa taasisi hii ndo chanzo cha mabalaa mengi duniani.

Mimi sijakataa,
Ndio maana nikasema Kwa mfumo wa zamani ndoa ni muhimu.
Ila Kwa Hali ilivyo na mabinti na Vijana mifumo wanayoitumia ninakuhakikishia ndoa ni zaidi ya UHUNI, Utapeli, mateso, nmk.

Ingawaje Mimi nimeoa
 
Mimi sijakataa,
Ndio maana nikasema Kwa mfumo wa zamani ndoa ni muhimu.
Ila Kwa Hali ilivyo na mabinti na Vijana mifumo wanayoitumia ninakuhakikishia ndoa ni zaidi ya UHUNI, Utapeli, mateso, nmk.

Ingawaje Mimi nimeoa
Labda ivyo!! Ila tunahitaji taasisi nzuri ya ndao kujenga jamii nzuri zaidi
 
Labda ivyo!! Ila tunahitaji taasisi nzuri ya ndao kujenga jamii nzuri zaidi

Mimi mawazo yangu ni Yale ya kizamani, hivyo kwangu ndoa ni lazima.
Lakini ni lazima Kwa vile nipo na MTU ambaye naye anatumia mifumo ya kale.

Kwangu Maisha ni kuwa na Familia.
Ila kamwe sitokubali kuwa na familia ya kijinga na kipuuzi Kwa kisingizio cha ndoa.
Hilo kwangu halitavumilika
 
Back
Top Bottom