Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je ni MSHANA JR au ROBERT HERIEL?


  • Total voters
    136
Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA

Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu

"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"​


Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu

"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"​

KUBALI NDOA
...ndo mpango mzima.

Wengi wanaopinga ndoa ni vitoto, havijui dunia inavyoenda. Vinadhani vitakuwa vijana milele.

Pale umri utakaposonga halafu huna familia, mke wala mtoto, afya inaanza kutetereka kwa sababu ya uzee, na huna hata mtu wa kutuma kitu dukani, ndo utajua hujui na itakuwa too late!
 
Mtu anayekataa ndoa ni mwanadamu dhaifu...

Ndoa ni moja ya mambo ambayo mtu dhaifu hawezi kukubali iwe sehemu ya maisha yake...

Kama tu ilivyo kwa mtu anayekataa Elimu, Mafanikio, Jinsia sahihi n.k...
 
Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA

Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu

"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"​


Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu

"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"​

Namkubali sana MSHANA lakini kwa hili hapana.

2
 
Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA

Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu

"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"​


Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu

"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"​

Wale wote wanao support mambo ya ALPHABET I.E LQGBT lazima watasema Kataa ndoa.
 
Mtu anayekataa ndoa ni mwanadamu dhaifu...

Ndoa ni moja ya mambo ambayo mtu dhaifu hawezi kukubali iwe sehemu ya maisha yake...

Kama tu ilivyo kwa mtu anayekataa Elimu, Mafanikio, Jinsia sahihi n.k...
Mm nadhani wengi ndio dhaifu wanaoogopa kukaa peke yao
 
Back
Top Bottom