Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaa[emoji849]Ndoa ni utapeli ndoa ni biashara iliojificha kwa kivuli cha dini
Unaolewa Asubuhi asubuhi wewe ni Supu? Omba Taraka.Mi nimeolewa Leo asubuhi kwahiyo nichagueje[emoji848]
We alokwambia robert anakataa ndoa ni nani?rudia kusoma
Ndoa ni uhuni uhuni wa Kibusara busara, Afu ndoa zinaslow down zoezi la kujaza dunia.1 kataa ndoa kwa afya ya akili
KUBALI NDOAWakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
Hamna kitu weweNdoa ni muhimu Kwa wanaofuata mfumo wa zamani.
Ila ndoa Kwa upande wa pili, ndoa sio muhimu na sio lazima kuoa Kwa kizazi cha sasa kinachofuata mfumo wa Usasa.
Wanaokataa ndoa wanahoja za msingi na KUBWA.
Wanaokubali ndoa wanahoja lakini sio hoja nzito nzito
Namkubali sana MSHANA lakini kwa hili hapana.Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
🤣🤣🤣ndoa ni haramuNamkubali sana MSHANA lakini kwa hili hapana.
2
Sio kweli nakataaMtu anayekataa ndoa ni dhaifu...
Wale wote wanao support mambo ya ALPHABET I.E LQGBT lazima watasema Kataa ndoa.Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
Kuishi pekoe ni kuwa strongKuishi mwenyewe maisha yote uboya huo
Sio kweli nakataa
Sio kuna watu wapo kwenye ndoa pia ni upinde hii theory yako haina mantikiWale wote wanao support mambo ya ALPHABET I.E LQGBT lazima watasema Kataa ndoa.
Kuna aina tofauti tofauti za singo maza, kwa mfano aliyefiwa na mume wake huyo hawezi fananishwa na wanawake single type ya Kajala masanja.Hata kama sio wote lakini asimilia kubwa wametokea kwenye ndoa, wachache sana waliolelewa na singo parent waliotoboa
Mm nadhani wengi ndio dhaifu wanaoogopa kukaa peke yaoMtu anayekataa ndoa ni mwanadamu dhaifu...
Ndoa ni moja ya mambo ambayo mtu dhaifu hawezi kukubali iwe sehemu ya maisha yake...
Kama tu ilivyo kwa mtu anayekataa Elimu, Mafanikio, Jinsia sahihi n.k...
Strong kwenye nnKuishi pekoe ni kuwa strong