- Thread starter
- #101
🤣🤣business ilionyuma ya mgongo wa diniNdoa ni uhuni uhuni wa Kibusara busara, Afu ndoa zinaslow down zoezi la kujaza dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣business ilionyuma ya mgongo wa diniNdoa ni uhuni uhuni wa Kibusara busara, Afu ndoa zinaslow down zoezi la kujaza dunia.
🤣🤣ndoa kataa ndoa ni haramuMi nimeolewa Leo asubuhi kwahiyo nichagueje🤔
Emotional,economically dependantStrong kwenye nn
Safi kwa summary fupi nyakati hizi ndoa sio lazimaNimeshaeleza hapo,
Ndoa ni muhimu na lazima Kwa mfumo wa zamani.
Lakini Kwa mfumo wa sasa na wakisasa ndoa haina umuhimu.
Mimi nazungumza mantiki, sizungumzi Kwa kuangalia Nani kazungumza au idadi ya watakaonikubalia au kunikukatalia ni wangapi, nazungumzia Uhalisia.
Uhalisia wa nikisemacho, nenda ustawi wa jamii au Mahakamani watakupa uhalisia wa nikisemacho.
Au Angalia Ndugu zako au washikaji zako kisha uje utoe hesabu hapa.
No nimekubali kuwa chini yake,nitamweshimu na kumlinda....aendapo safarini nitamnunulia kabisa ndom😘🤣🤣ndoa kataa ndoa ni haramu
Kupiga nyetoStrong kwenye nn
Alphabet memberNikianza na mimi ni team ROBERT HERIEL [emoji818][emoji818]
Alphabet memberNdoa ni utapeli ndoa ni biashara iliojificha kwa kivuli cha dini
Alphabet huyuTwende pamoja ndoa zinatutoa roho wanaume miaka hii tuzikatae
Alphabet huyuROBERT anaandika logical and tangible arguments yule mwingine ni mehemko na kutafta publicity tu.
KATAA NDOA
Alphabet huyuNdoa zilikua zamani sasa hivi ni utapeli tu, yaani nimlipie mahari pesa kibao binti aliyebikiriwa kwa chips mayai za buku jero.
Na bado aniletee jeuri mimi ninayemtunza kwa kila kitu, wakati wahuni walikua wanajipigia bila gharama.
KIJANA KATAA NDOA