To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Barikiwa mnoWaache wakomae mm lazima ni vute jiko[emoji847]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barikiwa mnoWaache wakomae mm lazima ni vute jiko[emoji847]
Oo God! U called me your what? X? U can't be serious 🤗Haha haya bhana my lovely X ninayempenda bado.
Ndoa inaongeza heshimaHapa tuko pamoja mkuu, ndoa ni lazima ili nikamilike. Kuna baadhi ya vitu unaweza ukavifanya lakini kama ungefanya baada ya kushauriana na mwenzako vingenyooka zaidi.
Umekaa palee wakuite manunu😎😎Mshana jr amepata kura zoteeee mjadala umeisha.Kama mtu anabisha ajee hapa jukwaani,mimi niko nimekaa pale.
Natabiri Kifo chako kitakua Sample sawa na ya SamsonAlphabet huyu hapa.
Shida ni kwamba Ndoa na Kuzaa havihusiani ndo usichokijuaHivi na wanawake wakisema kataa kuzaa dunia itakuaje. Utoto raha sana[emoji4]
Usipooa watu watakua wanakuona kicheche tuHakika umekuwa Goodman[emoji3059]
🤣🤣🤣We jamaa weweHii ishu ya kushinda ukitafuta mtu sahihi wakati Satan yupo road ni uongo ipo siku atamfikia tu. Pick any akijifaragua weka yeye chini pick anaza
KabisaUsipooa watu watakua wanakuona kicheche tu
Wanawake wanachosha Napema sana, Sometimes tu relation naona Mzigo sa hiyo ndoa ntatoboa kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee,unaanza kuhisi unabanwa Fulani ivi....Yaan mambo haya bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndo madhara ya kuchelewa kuoa au kuolewa
🤣🤣🤣Wataoa wenye akili tuWanawake wanachosha Napema sana, Sometimes tu relation naona Mzigo sa hiyo ndoa ntatoboa kweli?
Mwanamke akikulipukia tafsiri yake ni wewe ndie umeshindwa kuishi nae kwa akili, ama kwa lugha nyepesi mwanamke huyo ndie anaepaswa kuishi na wewe kwa akili.Mwanamke ni bomu mda wowote analipuka.
Naona mmewamua kuweka tofauti zenu pembeni...🤣🤣🤣Hapa nakubaliana na wewe Kwa mara ya kwanza
Member wa LQGBT unawezaje kutabiri kifo cha baba wa Familia ?Natabiri Kifo chako kitakua Sample sawa na ya Samson
Amen...🤣🤣🤣Wataoa wenye akili tu
Wapi kanisani au?Ndoa inaongeza heshima
Why don't you rectify the situation by coming back on my strong hands? It still feels like our first kiss and touches, I remember the smell of your skin, remember everything of you. It's getting better seeing you in my ❤️Oo God! U called me your what? X? U can't be serious 🤗
Ulivyo mwepesi ndoa hutaiweza, nakushauri ukae mkao wa kuolewa kama kuoa kunakupa shida.Wanawake wanachosha Napema sana, Sometimes tu relation naona Mzigo sa hiyo ndoa ntatoboa kweli?