Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤭Sina neno mie zaidi ya kuwaombea baraka tele katika ndoa yenu. Usijeukanimiss na kutamani kupasha kiporo, mheshimu mumeo thawa eh?😜
Víp? Ambao hawajaingia kwenye hizo ndoa tunaluhusa ya kushaur chochote hapo au wengine ni kupost maoni tu pasipo kufikiliaWakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forum baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi
ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR
Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
Sasa kweli issue ya kutungisha mimba ba ndoa wapi na wapi ndugu? Ndoa ni Ngono ilionoga tu hamna Cha Maana.Shida ni wewe kutokujua kua vinahusiana
Hapana, inategemea unamtafutaje huyo Mtu sahihiHii ishu ya kushinda ukitafuta mtu sahihi wakati Satan yupo road ni uongo ipo siku atamfikia tu. Pick any akijifaragua weka yeye chini pick anaza
Kabla bado hujaharibikiwa , rudi kundini kijana wangu.Ahahahah Acha nakasiriko, Kuoana ni Upuuzi upuuzi kikubwa watu tuzaliane basi yatosha.
Atreast tunadum japo tunachosha pia ndo maana haifai kugandanaKwamba wanaume nyie ni wakamilifu sana na hamchoshi mapema[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe toa maoni mkuu, sio wote walio tayari kwenye ndoa wanatoa maoniVíp? Ambao hawajaingia kwenye hizo ndoa tunaluhusa ya kushaur chochote hapo au wengine ni kupost maoni tu pasipo kufikilia
Hawawezi kukataa sababu wanapendaHivi na wanawake wakisema kataa kuzaa dunia itakuaje. Utoto raha sana[emoji4]
Sasa tukikataa ndoa sio dunia itabaki tupu sasa sema wangeazisha kataa kumpa mwanamke hela ningewaelewa.
Jesus!. Ikabidi nikasome hilo neno kujihakikishia. Kumbe yalishatabiriwa. Mungu tusaidieBwana wa majeshi bariki neno lako. Neno lako ni la kweli na linadumu milele
1 Timotheo 4
1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe,
Hakuna waliooa na nimashoga?Msipo oa si ndo mtakuwa mnaishi na washikaji zenu
😂😂 Shauri hata kwa mwenendo wa ndoa ya jirani mkuuWewe toa maoni mkuu, sio wote walio tayari kwenye ndoa wanatoa maoni
Shida ni kwamba Mungu Hakuletei Umekaa Unatafuta mwenyewe.Hapana, inategemea unamtafutaje huyo Mtu sahihi
Ukimwomba Mungu na kutulia hakika unampata Mtu atakayekuwa Baraka kwako na sio Mwiba, hatakuwa Mkamilifu at 100% lakini hatakusumbua na atakutii
Amini hilo.
Huruhusiwi kabisa.....hujui kutofautisha r na lVíp? Ambao hawajaingia kwenye hizo ndoa tunaluhusa ya kushaur chochote hapo au wengine ni kupost maoni tu pasipo kufikilia
Lini mliacha kuwasimanga ni single mothers. Sasa nao wanaamua kua nyie mnakataa ndoa na wao wanakataa kuzaa ni kula ujana tu. Dunia mnayotaka iwe itakua ya hovyo sana.Sasa kweli issue ya kutungisha mimba ba ndoa wapi na wapi ndugu? Ndoa ni Ngono ilionoga tu hamna Cha Maana.
Ntajaribu ila Sishauri kabisa. Wanaume tunapungua tu na Single mazas wanaongezeka husomi upepo Bro?Kabla bado hujaharibikiwa , rudi kundini kijana wangu.
Wawepo wasiwepo i don't care ndoa ni muhimuHakuna waliooa na nimashoga?