Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je ni MSHANA JR au ROBERT HERIEL?


  • Total voters
    136
Bwana wa majeshi bariki neno lako. Neno lako ni la kweli na linadumu milele
1 Timotheo 4

1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;

2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;

3 wakiwazuia watu wasioe,
 
Why don't you rectify the situation by coming back on my strong hands? It still feels like our first kiss and touches, I remember the smell of your skin, remember everything of you. It's getting better seeing you in my ❤️
E,e,e, eeee! Yaan wewe ndo umeamua kunifunga jela kabisa.🤣🤣🤣 Nimekoma mie🤐
 
Ahahahah Acha nakasiriko, Kuoana ni Upuuzi upuuzi kikubwa watu tuzaliane basi yatosha.
Naimani umri wako bado au inawezekana umeathirika kisaikolojia kwenye swala zima linalohisu mahusiano ya mme ke. Muda utafika utaitafuta ndoa kwa kufunga na kusigina magoti
 
Wanawake wanachosha Napema sana, Sometimes tu relation naona Mzigo sa hiyo ndoa ntatoboa kweli?
Kwamba wanaume nyie ni wakamilifu sana na hamchoshi mapema[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mtu amenioa asubuhi😔....angevutavuta kidogo ivi ningeolewa nawe😏
Sina neno mie zaidi ya kuwaombea baraka tele katika ndoa yenu. Usijeukanimiss na kutamani kupasha kiporo, mheshimu mumeo thawa eh?😜
 
Back
Top Bottom