Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
Kula like
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula like
Wenye akili za kawaida kama alizozisema Samia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wataoa wenye akili tu
PoteWapi kanisani au?
Sababu Amezama kina kwa Mama wa familiaMember wa LQGBT unawezaje kutabiri kifo cha baba wa Familia ?
Kwenye jamii nzimaWapi kanisani au?
E,e,e, eeee! Yaan wewe ndo umeamua kunifunga jela kabisa.🤣🤣🤣 Nimekoma mie🤐Why don't you rectify the situation by coming back on my strong hands? It still feels like our first kiss and touches, I remember the smell of your skin, remember everything of you. It's getting better seeing you in my ❤️
Ahahahah Acha nakasiriko, Kuoana ni Upuuzi upuuzi kikubwa watu tuzaliane basi yatosha.Ulivyo mwepesi ndoa hutaiweza, nakushauri ukae mkao wa kuolewa kama kuoa kunakupa shida.
Babe njoo tuoane, habari za kataa ndoa nasema tena "KATAA"E,e,e, eeee! Yaan wewe ndo umeamua kunifunga jela kabisa.🤣🤣🤣 Nimekoma mie🤐
Aaaah sio kweli, Labda uko kwenu ila si huku duniani kwa sasamKwenye jamii nzima
Kuna mtu amenioa asubuhi😔....angevutavuta kidogo ivi ningeolewa nawe😏Babe njoo tuoane, habari za kataa ndoa nasema tena "KATAA"
Naimani umri wako bado au inawezekana umeathirika kisaikolojia kwenye swala zima linalohisu mahusiano ya mme ke. Muda utafika utaitafuta ndoa kwa kufunga na kusigina magotiAhahahah Acha nakasiriko, Kuoana ni Upuuzi upuuzi kikubwa watu tuzaliane basi yatosha.
Shida ni wewe kutokujua kua vinahusianaShida ni kwamba Ndoa na Kuzaa havihusiani ndo usichokijua
Ndio toeni Mali walimwengu tuje kujaza mimba mlee na watoto.Huna unalolijua, subiri wanaume tukutolee mahari.
Kwamba wanaume nyie ni wakamilifu sana na hamchoshi mapema[emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wanachosha Napema sana, Sometimes tu relation naona Mzigo sa hiyo ndoa ntatoboa kweli?
Sina neno mie zaidi ya kuwaombea baraka tele katika ndoa yenu. Usijeukanimiss na kutamani kupasha kiporo, mheshimu mumeo thawa eh?😜Kuna mtu amenioa asubuhi😔....angevutavuta kidogo ivi ningeolewa nawe😏