Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Magera na mwenziw Sais OP yetu JK walihenyeshwa sababu kuna katoto ka brigedia walikuwa wanakazingua aisee si ndo simu ikapigwaa toka juu mbona kiliwakaa palee...!! Ilikuwa jau sana aisee
Kale keupe alikitia banzi siku ya intro to camp usiku danger coy akafanya watu tusimike usiku mzima dgo akasepa usiku ya mguu hadi kwao akarudishwa siku tatu mbele jamaa.akaqekwaga ndan 6 week ndo ikawa pona pona yetu
 
Nilikuwa nachukia sana MRADI,
Pale JKT Makutupora opereshen miaka 30 ya Uhuru.
Afande Mwshamba wa C - COY alikuwa anaudhi sana .
Kila siku Kujenga baraza ya Mchanga kisha asubuhi anaikanyaga na kuivuruga.
Huu tulikuwa tunauita Mradi.
 
Nilikuwa nachukia sana MRADI,
Pale JKT Makutupora opereshen miaka 30 ya Uhuru.
Afande Mwshamba wa C - COY alikuwa anaudhi sana .
Kila siku Kujenga baraza ya Mchanga kisha asubuhi anaikanyaga na kuivuruga.
Huu tulikuwa tunauita Mradi.
HaTa MM Nilikua makutu ila juzi juz apa
 
Respect mzee wetu.

Una kumbukumbu nzuri.
 
Ulikuwa Mtabila 825 kj ?
 
833 KJ oljoro...a place to remember OP miaka 50 ya muungano,machenja na mabio...Mambo ya kitundu...Kuna afande alikua anakuja anawaamsha kistaarabu wakati wa kwenda na ishara ni harufu ya sigara anayovuta...muda wa kurudi akikuta umelala inakula kwako
 
Huyu bwana tulikuwa naye lupango
 
Kabla sijaenda JKT nilikuwa mwoga,bwege, low self-esteem esteem ,confidence,domo zege,mvivu,legelege

Nilipotoka kule nilikuwa mtu tofauti kabisa na nilishukuru mwenyewe hadi leo kwa kuenda kule
 
Niliwahi tongozwa na demu kombaini nzima wakajua

Basi wakati chenja zile kucheza wanamleta kwangu[emoji1787][emoji1787] pumbavu zao
 
Nimefanya uchunguzi mdogo kwa vijana walioko vyuoni, hali inasikitisha sana.

Vijana hawana nidhamu siyo tu ya kazi hata ya muda.

Vijana hawana maono ya maisha yao binafsi au taifa. Maisha hawayajui kabisa hata wale wengine waliotokea maisha ya hali ya chini lakini hilo halijawafanya wawe 'humble'. Wana 'sense of entitlement'. Wanatamani tu na kudhani wanastahili vitu vizuri bila kuvifanyia kazi.

Vijana wa siku hizi, mvua tu ikinyesha ni kisingizio cha kutokwenda darasani au kutimiza wajibu fulani.

Vijana hawana maadili ya kuwa wakweli na waadilifu. Wanagerezeana kwenye mitihani, wengine kazi za makundi wanalipa wafanyiwe na wengine. Ukiacha wafanye kila mtu peke yake, vitest tu zero zinakuwepo za kutosha.

Huko JKT wanapokwenda baada ya kumaliza Form 6, wanajifunza nini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…