Kale keupe alikitia banzi siku ya intro to camp usiku danger coy akafanya watu tusimike usiku mzima dgo akasepa usiku ya mguu hadi kwao akarudishwa siku tatu mbele jamaa.akaqekwaga ndan 6 week ndo ikawa pona pona yetuMagera na mwenziw Sais OP yetu JK walihenyeshwa sababu kuna katoto ka brigedia walikuwa wanakazingua aisee si ndo simu ikapigwaa toka juu mbona kiliwakaa palee...!! Ilikuwa jau sana aisee
HaTa MM Nilikua makutu ila juzi juz apaNilikuwa nachukia sana MRADI,
Pale JKT Makutupora opereshen miaka 30 ya Uhuru.
Afande Mwshamba wa C - COY alikuwa anaudhi sana .
Kila siku Kujenga baraza ya Mchanga kisha asubuhi anaikanyaga na kuivuruga.
Huu tulikuwa tunauita Mradi.
Respect mzee wetu.Wakongwe wa Mafinga JKT (1980), Eagle Coy, Operation Tija hatutamsahau Afande Masoda, Kapteni Mangwembe na Sajenti Mungure. Kero ya pale ilikuwa baridi kali mno na unapangwa gadi Changarawe; Dah hakuna rangi utaacha kuona. Kingine ni kutokuwepo kwa viti au fomu za kukalia. Kila siku kwenye Chenja lazima ukae chini kwenye mchanga/vumbi sio kuchuchumaa i.e makalio lazima yaguse ardhi - Unachafukaje!!
Kero nyingine ilikuwa ni kufyagia asubuhi- kuna giza na mifagio tunaikata wenyewe kwenye kapori ka miti ya Miwati pembeni mwa barabara (smart Area). Hako kapori kalikuwa ni mahali pa kujisaidia haja kubwa wale wanaokuwa Kota gadi. Sasa kwa giza hilo huoni chini na utakanyaga sana mavi. Matokeo yake Mnanukaje mtakapoenda kwenye uji kwa mwendo wa kunyakuwa-nyakua..[emoji23]
Sali/Omba siku hiyo usikutane na Afande Nusumungu.... yupo "Heey! Zoezi limebadilika... Nyumaaa geuka'....." na ngarambe ndo inaanzia hapo.
...I love those Old Good Days .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani uliyapoteza wee hayo marinda, hadi nisiwe nayo?Uliingia bila kupimwa marinda au ulikua bado unayo mkuu?
🙏👆Respect mzee wetu.
Una kumbukumbu nzuri.
Dakanyama na magesa wameshafarikiUlale Kanembwa? kwa kina nyang'anyi, dakanyama au magesa? hapana aisee. Ila at time i miss those days. They were not pleasant but they created a worthy memories aisee
Dakanyama kata nyamaDakanyama na magesa wameshafariki
Ulikuwa Mtabila 825 kj ?Kuna ile kazi ya kufata mbolea kwa msukuma duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]ilikua inaniboa sana japo tulikua tukirud tunapitia malimao porini kwa ajili ya mchuzi wa nyama na kupaka kwenye kipara ukinyoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah umenikumbusha huyu mwana, anapiga sana bangi na sigara.... Sema alikua mwanetu sana na ana chenja zake za kipekee.Unampata Afande jasho
Huyu bwana tulikuwa naye lupangoTulipigwa route march danger coy nzima baada ya kuimba "Zaina Zaina mtoto wa kitanga Zaina lete raha Zaina..."
Pia kuna mwenzetu alipelekwa lupango kosa lake ilikuwa "kujongo" kazi akapewa extra drill kumbe alikuwa ana malaria kali akilalamika MP anaongeza adhabu mpaka akaanguka... akafia njiani akikimbizwa hospitali ... John's coner
Majeshi yote masongi yao yanafanana kutokana na kukatwa mabogiZaina chenja la mgamboo hilii...!! OP gani hii