Nasikia Chita ndo uliikuwa mpango mzima, Mimi Oljoro tulikula bata kwa Maduma E Coy...
Mkuu kama sikosei huyu afande Maduma ndiye alikuwa pia pale Maramba JKT (operesheni programu ya chama) B-Coy chini ya afande Mapunda aliyekuwa OC kipindi hicho CO akiwa afande Urio then akaja afande Lyaruu. Huyu Maduma alikuwa tall hivi, mweupe kiasi na nadhani alikuwa mgogo. Wakati huo alikuwa ni staff sergent na alikuwa na demu wake hivi kuruta bibi shamba akiitwa......Mara ya mwisho nilionana na Maduma mwaka 2006 akaniambia kwa wakati huo alikuwa ni mkufunzi wa mgambo wilaya ya Kinondoni. Kuna watu uwa siwasahau kama Narsis Mboya, Emmanuel Kabadi, Gumuso Ng'honholi, William Shija (akitokea Tabora), Joash Kunaga, Kagimbo, Deusdedit Buberwa, Denis Mbekenga(R.I.P.), Kachuli (muha, mbishi wa ukweli), mdogo wake wa kike na CO Lyaruu, Ernest Milinga (huyu alikaa sana pale zahanati kambini), Ernest Kaupunda(R.I.P), Jovin Kapinga, Kaniki, John Henjewele, Jasson Bagonza, Shauritanga, Elizabeth Kyoga, Kimoleta, Mussa Nyantaba, Arnold Buretta, Kajobi, Anna-Janeth Pius, Makaranga, Audax Mbelwa, Audax Makyao, Agnes Makyao, Mndeme, Benjamin Nyawela, Antony Mathew Mbuba, Lwambano, Arnold Mwaisumbi, Eliapenda, Kassim Ndossi, Mary Mshana, Anna Maluila (R.I.P.), Evelyne Mshigwa, Mwasiti Jumanne (Jumanne?), Aliko Mwakalindile, Rachel Kaduma, Hamis Madoheka, Hamis Bakari (mpiga maji na machachari kweli kweli-kuna wakati alipata pass akaenda kwao akarudi kambini na fimbo ya kaka yake mlemavu huku kalewa chakari), Zayumba, Humphrey Minja, Magnificent, Abel Ntupwa, Muhsin Salim Masoud, Mwang'ombe, Msafiri (akipenda sana kuimba nyimbo za Bob Marley, Lucresia Tarimo, Charles Morris, Fortunatus Michael Kambaragwe, Pantaleo, Peter Masika, William Davis na rafiki yake Shaaban Issa, Mlingo, Ferdinand Soka, Mwambuja, Renatha, William Jengo, Furaha Shayo, Mdingi, Fidelis Shirima, Lusekelo, Mlingi, wolfgang Pissa na wengineo wengi tu. Pia maafande kama Meshi, Waziri, Mnguluta (tonge nyama), Hussein, Pili (huyu akiwa bustanini B-Coy) Mwakalasya, Songela, Salamba etc.