Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Wale wa Makutupora na Ol joro.....
Hahaa pale oljoro mimi nilikuwa nadoji naenda kujificha zizini kwa ng'ombe hirani pale kwa mzee lyasejo kama unaenda farming kutoka bwaloni kule chini c.t.s[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 

Ukijongo andaa nguvu sasa nyie nguvu hamna halafu mnadoji

Lazima mnuke mavi tu
 
Sitasahau siku moja kwenye disco jamaa mmoja na kichaa chake akaimbisha wimbo wake mpya ulikuwa unasomeka hivi;
askari mambo yao vitendo vyao ..sawa sawa
vaa yao ......sawa sawa
Kula yao.... ...sawa sawa
Jamba yao ......sawa sawa.
Hapo ndiyo hali ya hewa ilibadilika badala ya disco ikawa kichura na push up hadi ule wali ukaisha tumboni. Mchakamchaka ilikuwa shida asubuhi kukimbia. Mimi nilijongo kwenda chooni serengeti (choo wa wanawake) bahati mbaya afande mwanamke (Nyoni)akaja kujisaidia haja kubwa. Kulikuwa na kagiza kidogo, kaanza kushusha mabomu, kwa bahati mbaya nikacheka pale nilikuwa nimejibanza. Mungu niliangukiwa wala hakukumbuka kupandisha nguo ya ndani kazi ilikuwa moja kunishughulikia. Push up pua kwenye shimo la choo akisema..... 'nusu hayo mavi kumamayo'
Nilijilaumu sana kwanini sikumuomba na mimi nilikuwa na uhanga kishenzi
Sintasahau usiku wa disco Ruvu JKT, mkuu wa kikosi alikuwa lt connel Makame na akina cpt mlay mkuu wa mafunzo
 
Nakumbuka MGAMBO JKT 835 tanga kina afande wame afande nurdini afande kabeya jamaa yee hatari ujinga
 
umenikumbusha mbali nkya na alloys ni noma hasa kipindi cha pori mlima nguruwe na kuzima moto msitu sao hill
Nahic ww ni wa OP moja na mm maana hao maafande wote nawajua vizuri je unmkumbuka INKYA anavyolala chini kuangalia km mguu umeinuka wkt w kunyakua?
 
Mimi nakumbuka nilichelewa kuriport kambini Makutupora,nilipofika nikaambiwa ahaa umechelewa eennh,ok anza kupiga pasi,nikashangaa,ndio mmoja wa kuruta akaniambia bro vua nguo zako uanze kuzikanyaga kanyaga mpaka ziwe flat,daah nilibaki na chupi ya V.I.P huku nikipiga mark time hadi nguo nilizovua zikawa flat,hapo nikaruhusiwa kuingia kambini,anyway sikupata tabu kabisa,maana kuna afisa wa kike alinizimikia aliponiona,so nikawa natoroka camp naenda kumpa ile kitu taaamu ya asali,basi nikawa kama boss,nilipewa kila aina ya chakula na pombe ili niweze kufanya shughuli nzito usiku ikiwemo tigo kwa kwenda mbele,VIVAAAAAA JKT MAKUTUPORA,mpaka leo naikumbuka na nillibatiza jina taamu,JKT MATOMBO NA SIO MAKUTUPORAAAAAAA HAHAAAAAA JKT MATOMBOOOOOO HOYEEEEEEEE.
 
mi sijui lolote kuhusu JKT..
ngoja nisome huko huwa mnalima nini na nini
Mkuu usijali,huko kambini mademu woote waliokuja humbwato na maboss,na pia sisi makuruta huwa tunawala kichizi,unajua kwata inaleta nyege sana au vipi? hasa mademu,yaani ile mipaja na mikia kutikisika na kusuguana,daah hapo sasa pata picha ya clit ina hali gani kwenye hiyo misuguani,basi tukisha kunywa uji na giza likaingia,basi hapo ni mbade mbade kwa kwenda mbele mpaka kieleweke.
 
mmmh simpeleki mwanangu hata waseme hii ni ya kwa mujibu au kwa sheria...kama huko mbeleni kuajiriwa sifa kua na iko cheti chao, ajira ziko nyingi hata..makampuni na yeye atajiajir tu ila si kwa upuuzi huu!!
asante kwa kunifumbua
 
Nimecheka hadi nimelia machozi
 
mmmh simpeleki mwanangu hata waseme hii ni ya kwa mujibu au kwa sheria...kama huko mbeleni kuajiriwa sifa kua na iko cheti chao, ajira ziko nyingi hata..makampuni na yeye atajiajir tu ila si kwa upuuzi huu!!
asante kwa kunifumbua

Usiogope bana. Kule wale wanaojifanya "Maselule"/ wanaopenda mtelemko mambo yao ndio huwa yanakuwa mabaya! Amini nakwambia, kuna watoto nilikuwa nao kule hao maafande hawakuona ndani! Ila sio siri, wale wanaojilegeza maafande walikuwa wanapokezana kama mpira wa kona!
 

Nakumbuka upigaji nyeto wa makundi wakati tukienda kuoga mtoni, yaani tulikuwa tunashindana nani anapiga nyeto Zaidi.
 
Msange JKT. Afande materu mchina. Sajini wela. Coplo Mandevu. Vcpl masanja sasa hivi masanja ni SSgt was jeshi LA maji kivukoni. Co sanga 2ic mpemba Fulani ameekwenda hewani. Those were the days vlcpl frida
Mimi sasa ni mbunge ila nilitumia choose kimoja na watu kumi hakuna ukuta wala nini kila mmoja anasoma karatasi lake atalochambia. Ukitoka chooni hakuna kunawa wala nini unakamata kitu unaweka mdomoni
 
Nakumbuka MGAMBO JKT 835 tanga kina afande wame afande nurdini afande kabeya jamaa yee hatari ujinga
Umenikumbusha B-Coy Mgambo JKT OP Kikwete 2015 mkuu.Kabeya alikuwa tall fulani hivi na English yake ya this time tomorrow.Wame nilikuwa simpendi kinouma maana jamaa alikuwa hatari sana kwa madoso na route za shamba.Matroni Beatrice alikuwa mrembo kinouma ila roho mbaya mamaeeeee.Kama kweli wewe ndio yule Amos basi nishakusoma mkuu.

Wapi GendaGEenda na Komsanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…