We fala me baba yakoNyie makarani mlikuwa mnaliwa na ma O.C wa kombania[emoji2][emoji2][emoji2]
Dah Oljoro Jkt 2014 hio n mwendo wa mabio chenja kama zote,kuvuna mahindi embakasi na shamba dunia,nilikua combania J na OC Kiwangu alikuaga mtu poa sana mzungu wa roho hana mambo mengi.... N mwendo wa kutunza kijogoo kwenye tranka,kula mahindi makavu .....Bila kumsahau mrembo wa kombania Irene Musobi
Makuyuni mwaka gn?
mademu mnaliwa sana na MT vidude vyenu ndiyo vinawapa cheo na chamce kwa maofsa.
We fala me baba yako
Dah hatari sana kule...embakasi kulikua na mbuyu mkubwa sasa zile pilika za kudoji kuvuna mahindi tunaenda kujificha kwenye mbuyu huko tunapiga sana mibuyu kwa mawe.....Kingine nilifurahia afande mmoja alipenda sana mpira sasa siku za mpira (world cup 2014 Brazil ) anatumwaga mapema.... Afande Niko, Afande Bashiru na afande Juli na afande Ndibalema mlitujenga saan pale J coy Mungu awaongoze sana.....Pale nimepiga 2010 op uzalendo farming nimekaa sana nimedoji sana kulala zizini kwa mzee lyaseko kule na wakati mwingine tulikuwa tunaenda hadi kwa bibi kule kama unaenda nadosoito (shamba la embakasi unavuka unaenda hadi umasaini huko kuna bibi alikuwa anauza kila kinywaji hadi bangi na ugoro)
Hahahaha alafu wanapigiwa miti maporiniKweli kabisa mimi siku nimedoji shamba kupalilia 833kj oljoro shamba la dunia naingia mtoni nimefuma prvt na A.K.C kamuinamisha kule mtoni anakula mzigo basi yule demu kumbe wa kombania yangu kabisa yule prvt kanikimbia alizani mimi naenda kukamata kumbe nakimbia na mimi kivyangu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ulinikuta nilikuwa sr wako kipindi icho mm ni service man.Pale nimepiga 2010 op uzalendo farming nimekaa sana nimedoji sana kulala zizini kwa mzee lyaseko kule na wakati mwingine tulikuwa tunaenda hadi kwa bibi kule kama unaenda nadosoito (shamba la embakasi unavuka unaenda hadi umasaini huko kuna bibi alikuwa anauza kila kinywaji hadi bangi na ugoro)
Sungura na dig dig tumewakuta pia 2014 hio2009,833Kj nilienda kulinda kituo Embakasi dig dig alipita gard kamanda akampiga chuma tukamchoma na kuanza kumla....miaka iyo Embakasi kulikuwa na sungura wengi sana na digi digi kama wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo juli na ndibalema niliwaacha hao wengine nadhani wageni vipi mp mwenye kiherehere eliudi bado yuko?Dah hatari sana kule...embakasi kulikua na mbuyu mkubwa sasa zile pilika za kudoji kuvuna mahindi tunaenda kujificha kwenye mbuyu huko tunapiga sana mibuyu kwa mawe.....Kingine nilifurahia afande mmoja alipenda sana mpira sasa siku za mpira (world cup 2014 Brazil ) anatumwaga mapema.... Afande Niko, Afande Bashiru na afande Juli na afande Ndibalema mlitujenga saan pale J coy Mungu awaongoze sana.....
Sungura na dig dig tumewakuta pia 2014 hio
Huenda asee kule chini tranker bustanini tumelala sana
Ukiona hujachukuliwa jua kuna kitu wamekiona kwako hakipo sawa, wale jamaa unaishi kawaida mule ndani wanawafuatilia mmoja hadi mwingine toka mafunzoni na hadi mnamaliza na kubaki pale kwa mkataba. Kama ukionekana na chembechembe za kutofaa kuwa jeshini, unaweza kusota sanaIshu ni kuwa kila alieko huko anaamini ataenda tpdf.
Yaani inatoka oda labda watu fulani vijana wanahitajika siku hao wahusika wakija vijana wanaringa kufanya usahili eti wanasubiri tpdf waje wengine hata polisi wakija wanagoma kufanya usahili wanataka jw mwishowe jw hawaji polisi wasapita au tanapa au chombo kingine ambacho hakiweki wazi ni watu gani hapo vijana wanajikuta mkataba umeisha na usahili waliotaka haujaja
Hahahaha alafu wanapigiwa miti maporini
Siku mkiwa na fatiki mnakuta kufuli zimekatwa na wezi wamekimbia na mali.
Jeshini ndiyo maana tunawaita hawa ma MTM ni kwa ajili ya maburudisho tuKuna demu mmoja (jina kapuni) kwa sasa ni trifik kapangwa huko tanga asee alikuwa anainamishwa balaa kipindi cha 6 week usiku wakati mwingine eti tunapelekwa bustanini mstari mmoja usiku tukifika pale amara pembeni kuna hanga la ma prvt basi anachomolewa anaingizwa ndani anapewa mambo huko tukirudishwa tenabanachomekwa katikati ya msafara basi tunarudi usawa wa kombania kuendelea kuimba chenza zetu kama kawaida[emoji1]