Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Kama karani hukuwala ulikuwa mzito sana wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nna dem wangu ambae ni mtm(boss wangu humohumo ofisini) ndie aliekuwa akinipa maisha from the beginning...kuanzia kula 5 kila saa,misosi ya maprivate kila siku,nguo zile green vest,pt short,fedha Mara kwa Mara za matumizi,papuchi,gate pass,bila kusahau kazi ambayo ilinifanya wengi wanionee wivu.

Fatuma popote ulipo Mungu akubariki,nakukumbukaga sana
 
Wewe uliiva hadi uliungulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi hizo ruvu jkt MP Ndomba ulikua ukiingia kwenye kumi na nane zake utajua...aliwahi kumfurumusha kuruta wa mujibu kwenye shamba la alizeti...anasema yani hiyo siku niliona alizeti zinavolala tu kwa jinsi kuruta alivokua anakula mabio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…