Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Mkuu wewe ulienda kwa mujibu wa sheria au Kujitolea? Na hawa wa kujitolea na mujibu wa sheria uwa wanachanganywa au vp


Mimi nilienda kwa mujibu wa sheria (fresh from school)
kwenye intake yetu tulichanganywa pale mwanzoni kuanzia uraia, uzalendo na ukuruti lakini badae tukatenganishwa kwasababu ilibidi tuharakishe tupige kwata ya mwisho tuondoke kutokana na matakwa ya wizara ya ulinzi na mafunzo ya jkt...

believe me jeshini hakuna double standard hata siku 1, wote mnachukuliwa kama kitu kimojs si mwanamke, si mwanaume, si msomi nk.
 
ELMU yangu cha nne ntaptaje mchakato huo


Subiri nafasi za kujiunga na jkt zitoke kutoka wizarani, nenda ofisi za mkoani kwako, huwa wanafanya interview na walia na vigezo huchukulia...
lakini unaweza kutumia njia ya "baba kantuma" (shortcut) unapiga deal na mtu unayemfahamu, ama kutoa chochote kitu pale mkoani ili kujihakikishia nafasi ya kwenda jkt
 
Safi sana mkuu, ofcourse zile privileged information zipo katika need-to-know basis kama range etc. I knw 'em.
 
Mimi nilienda kwa mujibu wa sheria (fresh from school)
kwenye intake yetu tulichanganywa pale mwanzoni kuanzia uraia, uzalendo na ukuruti lakini badae tukatenganishwa kwasababu ilibidi tuharakishe tupige kwata ya mwisho tuondoke kutokana na matakwa ya wizara ya ulinzi na mafunzo ya jkt...

believe me jeshini hakuna double standard hata siku 1, wote mnachukuliwa kama kitu kimojs si mwanamke, si mwanaume, si msomi nk.

Thanks kwa info apa kilichobaki ni kuskilizia tu izo chance zitoke
 
Thanks sana man!
Naomba kuuliza utaratibu ukoje wa kuchukua graduates jkt wakati umri wao unakuwa umeenda compared with form 4 and 6?
 
Thanks sana man!
Naomba kuuliza utaratibu ukoje wa kuchukua graduates jkt wakati umri wao unakuwa umeenda compared with form 4 and 6?


Wizara husika itatangaza nafasi za kujiunga na jkt....baada ya kutangaza, utaenda ofisi za mkoani ama wilayani kwako then utajiandikisha...

Wawakalishi wa jkt watakuja hapo mkoani kufanya usaili, wale watakaofikia vigezo watachukiliwa na kupangiwa utaratibu wa kuripoti makambini....
Zoezi hili halibagui umri chini ya 30, dini, kabila wala elimu, japo wenye fani huwa wanapewa kipaumbele zaidi...
 
Samahan mkuu,vp kama post imetoka halafu upo mbal na wilaya yako ulipozaliwa vp kama unamtu anaweza kukusaidia ukaingia jeshin bila kusail wilayan bt kw jia halali akanisaidia baada ya post kutoka inawezekana??
 
Samahan mkuu,vp kama post imetoka halafu upo mbal na wilaya yako ulipozaliwa vp kama unamtu anaweza kukusaidia ukaingia jeshin bila kusail wilayan bt kw jia halali akanisaidia baada ya post kutoka inawezekana??


Kuna principles 2 Jeshini kama ukizifuata ni mteremko mwanzo mwisho
*fungua moyo, yani chukulia kila kitu kama mafunzo and not otherwise...fanya vitu toka moyoni

*kuwa na morari, bila hii kitu ndg yangu lazima utausoma mziki wake...
vitu vya kawaida sana, mbona kulichua na madada wengi na walimaliza kozi....
 
Kuna principles 2 Jeshini kama ukizifuata ni mteremko mwanzo mwisho
*fungua moyo, yani chukulia kila kitu kama mafunzo and not otherwise...fanya vitu toka moyoni

*kuwa na morari, bila hii kitu ndg yangu lazima utausoma mziki wake...
vitu vya kawaida sana, mbona kulichua na madada wengi na walimaliza kozi....

Nadhani hujamuelewa aliekuuliza swali hebu pitia tena
 
I
Samahan mkuu,vp kama post imetoka halafu upo mbal na wilaya yako ulipozaliwa vp kama unamtu anaweza kukusaidia ukaingia jeshin bila kusail wilayan bt kw jia halali akanisaidia baada ya post kutoka inawezekana??


Samahani mkuu naona ni tatizo la kimtandao, hayo majibu yalikuwa yanalenga swali lingine

Ninaposema wilayani ama mkoano namaanisha pale ulipojiandikisha kufanya usaili wa jkt, sio lazima iwe wilaya uliyozaliwa, unaweza hata kujiandikisha kwenye wilaya 2/3 tofauti ili hata ukitemwa huku unaweza bahatisha kule....

Hiyo ya kutumia refa ipo sana, huwa tunawaita (baba kanituma), yani huyo refa wako anakufanyia kila kitu, wewe kazi yako ni kuripotu tu kambini,
 
Sawa mkuu mtandao naona pia inasumbua,lakin nimekupata poa,vp kwa ngaz ya diploma ya uhasibu jeshn inauzito gan? Na post zikitoka huwa usail unachukua muda gan? Kiukwel napenda sana jesh i wish one day i wll.
 
Kuna principles 2 Jeshini kama ukizifuata ni mteremko mwanzo mwisho
*fungua moyo, yani chukulia kila kitu kama mafunzo and not otherwise...fanya vitu toka moyoni

*kuwa na morari, bila hii kitu ndg yangu lazima utausoma mziki wake...
vitu vya kawaida sana, mbona kulichua na madada wengi na walimaliza kozi....

Kaka nisipokupa pongezi ntakuwa mchoyo wa fadhila, kikubwa zaidi nakuombea Mola akupe afya na uzima na uzidi kuwa na moyo wa kipekee wa kutufungua vijana hasa ambao tuna damu za uzalendo na kupenda kazi za kijeshi ndani yetu, asante kwa ma "ronja" mkuu, I bet one day Tutakutana Kule Tango Mike ALpha coz naimani ushapiga Mkuu.
 
Back
Top Bottom