PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
Wakubwa,
Jana nilikuwa nasikiliza RFA kulikuwa na kipindi cha Afya, kuna jamaa wa dizaini kama ya Dr Ndodi, wanapima magonjwa kwa kutumia mashine inayoitwa Quantum ambayo ina uwezo wa kuainisha magonjwa mengi yanayomsumbua mtu, kwa kushika handle fulani kama 'mouse' inayoingia kwenye computer hiyo. Baada ya hapo wanauza dawa za aina ya vyakula ili kutibu magonjwa yaliyoonekana kwa mgonjwa.
Kilichonishitua ni kwamba walifika mahala wakawa wanataja vitu vinavyopelekea mtu kuwa na Uric acid nyingi mwilini, wakasema kuwa ulaji wa matunda mchanganyiko KWA MUDA MMOJA ni source kubwa na mbaya sana ya Uric acid!
Walisema wale wauzaji wa matunda wanaokata chungwa, embe, papai, pesheni, avocado, tango, ndizi etc, na kukuzia kwenye sahani waogope kama ukoma, maana wanakuletea sahani ya kifo.
Walieleza kuwa kinachotakiwa ni kula tunda la aina moja lililopo kwenye msimu, basi na si kula matunda mchanganyiko.
Najiuliza, kuna packed juice za mixed fruit, aidha huko majumbani tunablend na kunywa juice za kuchanganya matunda, je ndio tunajimaliza?
Jana nilikuwa nasikiliza RFA kulikuwa na kipindi cha Afya, kuna jamaa wa dizaini kama ya Dr Ndodi, wanapima magonjwa kwa kutumia mashine inayoitwa Quantum ambayo ina uwezo wa kuainisha magonjwa mengi yanayomsumbua mtu, kwa kushika handle fulani kama 'mouse' inayoingia kwenye computer hiyo. Baada ya hapo wanauza dawa za aina ya vyakula ili kutibu magonjwa yaliyoonekana kwa mgonjwa.
Kilichonishitua ni kwamba walifika mahala wakawa wanataja vitu vinavyopelekea mtu kuwa na Uric acid nyingi mwilini, wakasema kuwa ulaji wa matunda mchanganyiko KWA MUDA MMOJA ni source kubwa na mbaya sana ya Uric acid!
Walisema wale wauzaji wa matunda wanaokata chungwa, embe, papai, pesheni, avocado, tango, ndizi etc, na kukuzia kwenye sahani waogope kama ukoma, maana wanakuletea sahani ya kifo.
Walieleza kuwa kinachotakiwa ni kula tunda la aina moja lililopo kwenye msimu, basi na si kula matunda mchanganyiko.
Najiuliza, kuna packed juice za mixed fruit, aidha huko majumbani tunablend na kunywa juice za kuchanganya matunda, je ndio tunajimaliza?