Je, unamfahamu Kajala Masanja?

Status
Not open for further replies.
Ukisikia ujana maji ya moto ndo hio
Kwa hyo cheti chake cha 4m 4 n PaulaπŸ˜€πŸ˜€
 
ulitaka alete biography ya babu yako?.acha wivu wa kijinga.
Okay mkuu. It's seems umekuwa inspired na maisha ya Kajala That's not a problem but atleast Kwa siku ya Leo ingekaa poa kama watu wangefocus na kumbukumbu ya Mwl. Nyerere ukizingatia Leo ni Nyerere day.

Kama vijana hususani wa kiume ilibidi tujadili maisha ya Mwl. Ili tujifunze ni Kwa namna tunaweza acha legacy hata Kwa ngazi ya familia.

But don't take it personally because life is too short to hold grudges.
 
Duh kipindi hyo mbowe alikuwa anaruhusuje mabint wadogo waje disco[emoji23]
 
Ila hawa watoto wa mapolisi ni micharuko sana!


Mshua wangu huwa ananipa storee za Saba sita babaake Tunda cappuccino nasikia alikuwa mzushi kweli huko Arusha...sasa mbona toto lake liko hivo daah
πŸ˜‚ Mzee SabaSita, mkuu umenikumbusha mbali sanaa, nilimjua huyu mzee Kihonda Morogoro.
 
Mtot wa kike hajaumbwa kuteseka bro mateso ni kwa mwanume tu kidini hatakiwi hata kufanya kazi wao wapo kama mapambo ya dunia na kumridhisha mumew tu
 
Hana hata carrier ya maana ya kusema anaingiza pesa kwa kupitia kitu Fulani alafu ndo barua yote hiyo. Yes she is beautiful lakini msipotoshe watoto wetu, we need them to Believe in HARD WORK, DISCIPLINE AND EDUCATION. AMEN
Mwanamke hajaumbwa kuteseka bro...tena kidini hatakiwi hata kufanya kazi yeye yupo kama mapambo ya dunia na kumridhisha mumew basi
 
Hana hata carrier ya maana ya kusema anaingiza pesa kwa kupitia kitu Fulani alafu ndo barua yote hiyo. Yes she is beautiful lakini msipotoshe watoto wetu, we need them to Believe in HARD WORK, DISCIPLINE AND EDUCATION. AMEN
Kwa mbele hawa ndio wanaitwa socialites, hujulikana pasipo specific talent, famous for being famous au "the kardashians"

Umaarufu aliopewa na Pfunk ni wa mjini ila sisi wa kolomije wengi tulimjua kupitia bongo movies, kuigiza na major acts kama kanumba, ramsey nouh, ray, Jb na movie kubwa kama devils kingdom. Muandishi ndio amefeli kutokuonesha hii side maana ndio iliochangia kumpa ile fame ya kitaifa ukitoa ya mjini daslam

Kuna kipindi alikuwa film producer na alkuwa na kampuni ambayo ilikuwa inafanya movie production, event planning and promotions. Sijui iliishia wapi ila possibly ni baada ya upepo wa bongo movies kufa

Nadhani muandishi kaangalia tu interviews hasa aliyofanya na salama maana zaidi ya 70% aliisimulia mule. Angeingia deep zaidi angekuja na narrative tamu zaidi ila kajitahidi πŸ™πŸ™
 
Nyota na Bahati inambeba, as long yupo kwenye spotlight yeye ndo role model kwa watoto wa watanzania
 
Mkuu sas ndio nimekuja kusoma saa zile sijaweza kusoma yote sas mkuu Sierra one Mbna unatupitisha kweny maisha yake ya usanii ambayo ndio ilimpandisha chati na kujulikana mjini VIP kuhusu hicho kipande Cha maish ya bongo movie aliingiaje aje na lini alianza kbla kufika hi piki ya sas HV aliyopo
 
Huyu mmakonde akitembea na Kajala huwa anajitunishaaa
Alfu muda wote huyu mwanake yupoyupo tu Wal haongezi watoto inamamna kote aliko pit akuna hata aliyemfankkisha kumtungisha mimba ..na Wala sifikiri kondo boy atamtundikaa mimba tusubirii
 
Anatupataje labda? Alidhani kuzuia screenshots ndiyo kila kitu? Amesahahu teknolojia imemzidi akili?

Btw nimetoa credit hapo mwishoni, ningeweza kucopy bila credit zozote..
Ila umeipiga vzr haswa hongeraaa pia

Ila nijibu
Swala langu Ni vipi alianza kuwa pick .na vipi alianza VIP maisha ya bongo movie naona ujajadili hapo
 
Mkuu nakuombea kwa Mungu uwe mwandishi mkubwa uko baadae ila comment yangu haina uhisiano na mawazo yako na uyo kajala kikubwa unakila basics za kuwa muandishi mzuri
HV wew unaongea nn unamjuwa mtu anaitwa UMUGHAKA wewe ,huyu mwamba Ni hodari kwa uhandishi jamaa anajuwa Hadi anakeraa siyo Hawa watoto wa mange kimambi hata huyu kijana aliye boldiwa hakai kwa Jack Daniel
 
Hana hata carrier ya maana ya kusema anaingiza pesa kwa kupitia kitu Fulani alafu ndo barua yote hiyo. Yes she is beautiful lakini msipotoshe watoto wetu, we need them to Believe in HARD WORK, DISCIPLINE AND EDUCATION. AMEN
Exactly
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…