Je, unapaswa kubadili shuka mara ngapi?

Eti utafiti uliofanyika...!? Dsm kuna joto fua mashuka kila baada ya kutumia
 
Hahaaa halafu ndio maana kuna watu huwa wanahisi mimi Mwanaume, sijui hata ni kwanini wakati posts zangu nyingi zinajieleza, sema acha tuchangamshe genge tu tutafanyaje sasa [emoji3][emoji3]
Ila una vielement havieleweki wallah!!🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…