Je unasifika kwa TABIA gani mtaani kwako?

Duuh mi sifa angu eti nina uzungu mwingi, maringo, sisalimii[emoji15] [emoji15] ...

Yaani hata mwenyewe nikiambiwaga hizi story huwa sijielewi...
 
Sina rafiki, hua sipendi kukaa na watu kitaa, mpole, mkimya, In short napenda maisha ya pekee yangu tu na hata madem nawaona bata pori tu..
Tumefanana mkuu sina muda na mtu iwe kitaani iwe barabarani popote pale ninapokuwa sitaki marafiki
Kutongoza wasichana sina muda huo labda ni kumuhonga tu tukimaliza mchezo tusijuane sina demu sababu hawaeleweki
 
Jaman kila MTU humu mpole MTU wa watu mkarimu lol [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] M/Mungu nijaalie nipate mume jf mana wote wanasifa sitahili!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...

Humu watu ni fekerooo sijapata ona

Full uongoo yaani..
 
Duuh mi sifa angu eti nina uzungu mwingi, maringo, sisalimii[emoji15] [emoji15] ...

Yaani hata mwenyewe nikiambiwaga hizi story huwa sijielewi...
avatar inaonyesha tu we cyo wa mchezo sport
 


Nilitaka kuongeza ila umemaliza kila kitu mkuu
 
Nasifika kwa ukauzu maana hua nagawa mapigo mwanana kwa wezi,wasionijua hua ngumu kunizoea ila nikifungua milango mi rafiki mwema,mcheshi na mwaminifu kupindukia maana ht nikifanya baya hua nateseka mno nafsin!
 
ukitombi ndo yangu sifa,wananijua xana nikij na mgen wa kike nikiwakut wamekaa nje lazm waingie ndani wanaogop kuckia miguno ya ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…