Je, unataka kujua siri za mkeo?

Je, unataka kujua siri za mkeo?

Waligombana majirani wawili wanaume juu ya nafasi ya kupaki gari appartments zimejengwa kwa kubanana, wakapelekana mpaka kwa mjumbe. Mjumbe akaita kikao cha wakazi wa zile appartments, na wake zao wakahudhuria, ugomvi ukawa bado mkubwa ikafikia hali wale wake zao kuingilia kati. Mwishowe ugomvi ulibadilika ukahamia kwenye mambo ya mkeo mwenyewe mala.ya anatoka na sombody xxx.. na mwanamke mwingine nae kaanza unatoka na yyy.

Ushauri: ugomvi wa wanaume ukichanganywa na wake zao unakuaga si wakaiwaida, hapo utajua siri zote hata mtoto unaedhani ni wako kumbe si wako utapata taarifa kamili. haha.
Shetani akafurahi kichizi
 
Ninao uwezo wakudukua mawasiliano yote ya mke wangu lakini staki kuumiza moyo wangu,nampenda sana mke wangu, Kama anamakando kando yake Mimi hayanihusu, yanini ni- kompliketi Maisha wakati Maisha yenyewe mafupi tu Ni Kama umande wa asubuhi.

Jipe Raha acha kutafuta matatizo , acha matatizo yakutafute,Sasa nikijua what next? Hakuna mkamilifu kikubwa tu atunze heshima yako! Tatizo la wanaume wengi wanapenda kujiona wanamamlaka makubwa juu ya wenza wao kuwaliko wanawake, ndo maana mnaua just because ya katundu ambako hakana maana!!
Ongeza sauti au basi imetosha.

Wanaume wanaotafuta mbinu daily za kutaka kujua siri za wake zao kwanza hawajiamini pili ni wazee wa micheps huko nje so anadhani anayofanyia wake za watu na mkewe anafanyiwa hivyo. By the way kama unadinya wake za watu na kuna uwezekano na wako akadinywa so usije ukashangaa. Japo wanawake inakua ngumu na kama una hofu ya Mungu na unawatoto kadhaa ila kama mkeo ni yule una mwaga mboga anamwaga ugali tegemea tukio au ni bora uendelele na hamsini zako.
 
Mbele ya macho yako mkeo ni mtakatifu sana, hana kasoro wala dosari hata moja. Ni msafi, ana heshima, ana wajibika vyema, ni mbunifu na mburudishaji wako mzuri kitandani.

Ratiba zake zote unazijua, na simu yake haina password. Lakini wahenga walishasema, moyo wa mtu ni msitu mnene, amini usiamini, kikulacho ki nguoni mwako.

Je, wataka kujua siri za mkeo?

Mwite mke wa jirani yako MALAYA. Utapewa siri zote za mkeo
Sasa kama anakufanyia mema yote hayo ya nini kufukunyua madhaifu yake , wengine tunataman hyo Hali wake zetu watufanyie Ila wewe unajitahd kutafta alipopungua duuh
 
Sasa kama anakufanyia mema yote hayo ya nini kufukunyua madhaifu yake , wengine tunataman hyo Hali wake zetu watufanyie Ila wewe unajitahd kutafta alipopungua duuh
Ndoa ni matumizi ya akili. Usipotumia akili kuishi na mkeo, mitandao ya kijamii itaongoza ndoa yako.
 
Kwa sisi ambao hatuwafualiii wake zetu mnatueka kwenye kundi gani? Kwamba hatuna mapenzi na wake zetu ama tunafanya ujinga kutokuwafuatilia wake zetu? 😂😂😂
 
Waulizeni madereva wa Bodaboda ndio wanajuwa habari za wake zenu kuliko mnavyowajuwa nyinyi.
 
Ninao uwezo wakudukua mawasiliano yote ya mke wangu lakini staki kuumiza moyo wangu,nampenda sana mke wangu, Kama anamakando kando yake Mimi hayanihusu, yanini ni- kompliketi Maisha wakati Maisha yenyewe mafupi tu Ni Kama umande wa asubuhi.

Jipe Raha acha kutafuta matatizo , acha matatizo yakutafute,Sasa nikijua what next? Hakuna mkamilifu kikubwa tu atunze heshima yako! Tatizo la wanaume wengi wanapenda kujiona wanamamlaka makubwa juu ya wenza wao kuwaliko wanawake, ndo maana mnaua just because ya katundu ambako hakana maana!!
Sanamu lako lijengwe ikulu mkuu!!


Presha za kujitakia sio kabisa n
 
Waligombana majirani wawili wanaume juu ya nafasi ya kupaki gari appartments zimejengwa kwa kubanana, wakapelekana mpaka kwa mjumbe. Mjumbe akaita kikao cha wakazi wa zile appartments, na wake zao wakahudhuria, ugomvi ukawa bado mkubwa ikafikia hali wale wake zao kuingilia kati. Mwishowe ugomvi ulibadilika ukahamia kwenye mambo ya mkeo mwenyewe mala.ya anatoka na sombody xxx.. na mwanamke mwingine nae kaanza unatoka na yyy.

Ushauri: ugomvi wa wanaume ukichanganywa na wake zao unakuaga si wakaiwaida, hapo utajua siri zote hata mtoto unaedhani ni wako kumbe si wako utapata taarifa kamili. haha.
Kumbeeee🤔🤔🤔🤔
 
Mwite mke wa jirani yako MALAYA. Utapewa siri zote za mkeo


Yaani umtusi mke wa jirani yako kwa tusi la "Malaya" ili upate undani wa mkeo??!!, hakika hiyo sio njia bora ya kujua undani wa mkeo kwani yawezekana kutokana na hasira za wewe kumwita Malaya na yeye atajibu kwa hasira kumzulia mkeo mambo ya uongo ili tu na wewe uumie kama jinsi alivyoumia yeye, Tafadhali angalia huu upande mwingine wa sarafu.
 
Yaani umtusi mke wa jirani yako kwa tusi la "Malaya" ili upate undani wa mkeo??!!, hakika hiyo sio njia bora ya kujua undani wa mkeo kwani yawezekana kutokana na hasira za wewe kumwita Malaya na yeye atajibu kwa hasira kumzulia mkeo mambo ya uongo ili tu na wewe uumie kama jinsi alivyoumia yeye, Tafadhali angalia huu upande mwingine wa sarafu.
Japan ilipigwa bomu la nuclear sio kwasababu ilikuwa ni tishio kwa Marekani, ila ilikuwa ni kumuonesha Mrusi kwamba usijaribu kucheza nasi
 
Back
Top Bottom