hiyo multi k kama iko na p sifuri (0) kweli , haitofaa katika viazi kama viko katika steji ya kutengeneza viazi, labda kama ipo katika stegi ya kukua hiyo itafaa. Hiyo multi k ingefa vizuri zaidi kama ingekuwa katika zao unalovuna matunda kama nyanya/bilinganyi ingefaa sana, coz hiyo n-nitrogen ingesaidia katika majani,na hiyo k-potassium ingesaidia sana katika matunda kunenepesha. Ila kwa viazi ilipaswa iwe na p-phosphorus kubwa (%) ili ile mizizi isaidie katika kupeleka chakula katika kiazi ili kiazi kiwe kikubwa. Kama uchumi wako si mzuri, unaweza piga hiyo hiyo multi k, but chini katika mizizi weka can mbolea kwa wingi ikusaidie kunenepesha kiazi... uote=nina imani;14911529]nilimwagiza mtu akaninunulie multi k booster, kanunua yenye namba (n)13%(p)o%(k) 46% je hii inafaa kwa viazi na nyanya