Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane hapa

Labda nilimjibu kwa kuoverlook tu sehemu, huwez mwagilia masaa 24 kaka tutamwagilia asubuhi kati ya sa 12 hadi sa4 asubuhi, na jioni, kama umemwagilia mda mrefu ni masaa mawili kwa drip line kwa eka1 masaa2 ni lita 20,000
Sawa mkuu nimekwelewa sasa. Je una utaalamu wa sweet pepper (pili pili hoho)? unaeza nipatia darasa lake(kama ulilotoa kwenye ovacado na tomado)? interms of spacing, mbegu mzuri, grarama zake etc... thanks in advance.
 
Mkuu sifa ziende kwa Bwana kwa kukupa maarifa na uelewa mkubwa kutujuza habari hizi.Nakupata vipi kwenye simu mkuu japo tuongee kidogo?
 
nimepiga hesabu hapo naona muda mzuri wa kupanda ni mwezi wa 9
 
Mkuu kilimomaarifa.tajiri nashukuru sana, sana kwa maelezo yako. by the way naona umetaja magomjwa lakini hujaspecify madawa. na je ukiwa unapanda mbegu kuna dawa unaweka wakati wa kupanda?
 
ASANTE MKUU. NIJITAHIDI NIWEKE MAWASILIANO YANGU KABLA YA HII JANUARY KUISHA, KWA WALE WATAKAOPENDA (HIARI) TUTAWEZA FANYA MOBILE COMMERCIAL FARMING CONSULTATION.
Mkuu kuna maswali mawili nitashukuru kama utanisaidia
1)je naweza kuendelea na kilimo cha mbaazi kwa sasa au nimeshachelewa nisubiri mpaka kipindi kingine,shamba lipo ikilishi wilaya ya kiteto
2)naomba unielezee kuhusu kilimo cha matango,mbegu ipi nzuri,maeneo gani inakubali nk
 
nashukuru kwa ushauri, experience ndio mwalimu mzuri kuliko wote duniani
 
vp kuhusu magugu mkuu, huwa hayasumbui nyanya? kama yanasumbua tupe na elimu ya jinsi ya kuyadhibiti kwa ufanisi
 
Cc real G

Alafu mkuu kilimomaarifa.tajiri , nimerudi tena, ningeomba pia elimu kuhusu ulimaji wa mpunga/mchele kuanzia maandalizi ya shamba, mbegu, madawa na mavuno yake.
 
e bana hiyo 60 days kabla ya kupanda ni kwa eka moja nzima? au ni kwa sehemu uliyosia mbegu tu? na kwenye nyanya hakuna selective herbicides zake kama ilivyo kwa kitunguu, na kipimo cha hiyo GLYPHOSATE unachanganyaje plz, halafu naona kwenye hayo maelezo ya kuchanganya mls 80 ya oxyfen/sulfen kwa lita 20 maji kwa ajili ya shamba la vitunguu kama hujamalizia vile, malizia plz
 
mkuu nikipiga hiyo glyphosate kipindi cha mvua inabidi nichanganye na kile kinatisha sumu ulichosema ili isisafishwe na maji?
 
ukili nyanya ndani ya green hause ukosefu wa nyuki siutafanya nyanya ziwe seedless ana shapeless kama ulivyosema hebu fafanua
 
[/QUOTE]
Asante sana nimepata mwanga,ubarikiwe
 
Nikajua kuzalisha mazao ya mboga mboga na matunda. Sina au na pungukiwa na taaluma ya soko (uuzaji) na usindikaji. Nisaidieni
 
Samahani. Ninataka kulima heka moja ya vitunguu maji kwa sasa.je nimbegu gani nzuri kwa msimu huu WA mvua.
Naomba kama ukiweza nipe ushauri ewa mbolea za kutumia pamoja na dawa.nitashukuru ukinipa msaada WA elimu hiyo
 
Samahani .nataka kulima kitunguu Maji kwa sasa kwa msimu huu WA mvua .je ni mbegu gani inafaa kwa msimu WA mvua .
Nitumie mbolea gani toka kupanda hadi kuvuna pia dawa nitumie dawa zipi?.ntashukuru ukinipa jibu Niko serious
 
Mkuu maarifa mimi nataka kuanza kulima nyanya february je mpaka navuna bei itakuwa nzuri?
 

LEO Mabibo kitunguu 230,000. Nyanya box 30,000 lile la 40 kg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…