mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Hahahhaa, aiseee 😎😀😎😀
Kazi kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhaa, aiseee 😎😀😎😀
mito unaona sasa....Hahahhaa, aiseee 😎😀😎😀
Faizafox mbona unajichanganya..nimeuliza upo kwenye ndoa..wewe unasema ni hataree mnaoana ndugu kwa ndugu. Hii ni hataree ndio maana naona post zako nyingi zinaonesha una msongo wa mawazo
ila yupo ktk NdoaSi mjane na sijaolewa. Kwetu kuolewa mwiko.Tunaoana tu.
Hahaaa subirini mtakavyochambwa sasa, mi nakimbia zangu simo kabisaaaa!!
mito unaona sasa....
Mkaanga sumu lazma ujue mimi na wew ni ndugu...hupaswi kunifanyia mdomo hivyo..
Tuchambwe au tupewe hela? Kuchamba tutajichamba wenyewe sio kazi yao hiyo, kazi ya wamaume ni kutupatia hela, tena wtupatie hela, nasema hivi ni lazima watupatie hela.
Halafu tabia ya kutoa hela wanagawa nusu wanarudisha mfukoni HIYO TABIA NASEMA IFE
Tuchambwe au tupewe hela? Kuchamba tutajichamba wenyewe sio kazi yao hiyo, kazi ya wamaume ni kutupatia hela, tena wtupatie hela, nasema hivi ni lazima watupatie hela.
Halafu tabia ya kutoa hela wanagawa nusu wanarudisha mfukoni HIYO TABIA NASEMA IFE
Tena tabia mbaya haijapata kuonekana, unarudisha zingine ili umpelekee nani? Watoe zote akitaka zake arudi atm achukue alaaaaaa!
Hahaa ndugu yangu umenikumbusha msemo wa rafiki yangu mmoja (wakike) alisema 'man can satisfy me in bed even though he have 3inches of d**k when a lot of money involved'
Undugu wetu ni muhimu sana hauwezi kuisha
Akyamama sina dada hapa, yaaani kukitokea sherehe walah nawagawa buuureee!! Heri nibaki na dada mmoja Heaven Sent maana yeye hana tabia kama hizi, loh!
Tena tabia mbaya haijapata kuonekana, unarudisha zingine ili umpelekee nani? Watoe zote akitaka zake arudi atm achukue alaaaaaa!
Hahaaa nawaona wapenda dezo wameishaanza kushangaa shangaa, soon watatoa mapovu, teh teh
We siku ile si ulimdanganya kiwatengu? Sijui ulikuwa unammendea nani?
hata mimi mkuu pesa ni kila kitu
Khaaaah hebu acheni kunionea bwana, yaani mume wangu Kaboom kishanunua na gift paper hapa natafuta pedeshee akanitoe zawadi, wewe nawe kaka yangu unataka kunigawa, tafadhali bwana damu nzito ati!