Je, unataka upendwe na mwanamke? Mpe hela

Je, unataka upendwe na mwanamke? Mpe hela

Toka CCM ilivyomteua Rais mkristo FaizaFoxy hana raha, anaona kabisa tz kuwa na rais muislam ni miongo mingi ijayo. Huyo muislamu mkwere amerudisha nchi nyuma kimaendeleo, hatuwapi tena waswahili hii nchi. Waislamu hamna wa kuwabeba tena, mtasubiri sana. Lakini umakamu wa rais mtapata. Magufuli anaenda kuwatoa wale waislamu wote waliobebwa na mkwere.

Mmeshindwa kura sasa mnaleta udini.
 
Mmeshindwa kura sasa mnaleta udini.
Ewe malkia wa udini tambua kuwa kuna watu tunaweza sana udini, huwa tumetulia tu tunakuangalia unavyopayuka humu JF.

Mkwere kawabeba sana kwenye nafasi nyingi serikalini. Lakini mwaka huu ndio mwisho wa kubebwa kwa waislamu. Watu wenyewe mpo chini ya 30% halafu wengine kama wewe mnamtaka Rais anayejali maslahi yenu badala ya maslahi ya Taifa.
 
Ewe malkia wa udini tambua kuwa kuna watu tunaweza sana udini, huwa tumetulia tu tunakuangalia unavyopayuka humu JF.

Mkwere kawabeba sana kwenye nafasi nyingi serikalini. Lakini mwaka huu ndio mwisho wa kubebwa kwa waislamu. Watu wenyewe mpo chini ya 30% halafu wengine kama wewe mnamtaka Rais anayejali maslahi yenu badala ya maslahi ya Taifa.

Hoja za hivi zinaleta kinyaa
 
Habari zenu wakuu,

Leo nina maswali kwenu,

Mambo yafuatayo ukiyafanya mwanamke atakupenda:

1-MPE HELA
2-MPE HELA
3-WE MPE HELA
4-NAKWAMBIA MPE HELA
5-WE MPE HELA TUUUU.

Je, wanawake mnapenda hela kiasi hicho? Na je, wanaume tukiwa hatuna hela tutapendwa kweli?

KARIBUNI WAKUU



mtu mwenye akili chache au zero brain hutambulikana kwa mawazo yake kama wewe. na ndo maana na wewe umewapa hela mpk unalala chini. kutoa hela kwa mwanamke ili njia ya kupendwa ni upumbavu na huo upendo ni bubu. NAKUOMBEA MUNGU AKUPONYE NAFSI YAKO KWA JINA LA YESU KRISTO.
 
Ewe malkia wa udini tambua kuwa kuna watu tunaweza sana udini, huwa tumetulia tu tunakuangalia unavyopayuka humu JF.

Mkwere kawabeba sana kwenye nafasi nyingi serikalini. Lakini mwaka huu ndio mwisho wa kubebwa kwa waislamu. Watu wenyewe mpo chini ya 30% halafu wengine kama wewe mnamtaka Rais anayejali maslahi yenu badala ya maslahi ya Taifa.

Naona dole lililozuwia mafuriko limekusibu:

images
 
Naona dole lililozuwia mafuriko limekusibu:
Ewe Malkia wa Udini kumbuka kwamba watanzania wengi tunaangalia maslahi ya taifa kwanza wala sio maslahi ya waislamu kwanza. Kila kikundi cha watu wakitaka maslahi yao kwanza kuna nchi hapo???

Tafakari.
 
mtu mwenye akili chache au zero brain hutambulikana kwa mawazo yake kama wewe. na ndo maana na wewe umewapa hela mpk unalala chini. kutoa hela kwa mwanamke ili njia ya kupendwa ni upumbavu na huo upendo ni bubu. NAKUOMBEA MUNGU AKUPONYE NAFSI YAKO KWA JINA LA YESU KRISTO.
mito Kaboom Mtumishi kahamia huku. Msimsikilize mtumishi jaman nyie tupeni hela
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wa kibongo ndio wengi wanaendekeza kodi za kupigwa P.
K zimegeuzwa mitaji wakware mtakomaaa!!
 
Hii/hizi mada zimekuwa 2 in 1, 1 - kuhonga
2- udini
nimepata kigugumizi nichangie upande gani ??? lakini poa endeleeni - team - kuhonga vs team - udini
 
Akyamama sina dada hapa, yaaani kukitokea sherehe walah nawagawa buuureee!! Heri nibaki na dada mmoja Heaven Sent maana yeye hana tabia kama hizi, loh!
Hahhaha naona atoto ana nyota ya gift paper. Huku me na daddy tunajipanga kumtoa zawadi tu
 
Last edited by a moderator:
Ewe Malkia wa Udini kumbuka kwamba watanzania wengi tunaangalia maslahi ya taifa kwanza wala sio maslahi ya waislamu kwanza. Kila kikundi cha watu wakitaka maslahi yao kwanza kuna nchi hapo???

Tafakari.

Naona dole lililozuwia mafuriko limekusibu:

images
 
Naona dole lililozuwia mafuriko limekusibu:
Wewe ajuza mdini tutaenda sawa tu hadi mwisho wa hii thread. Kubebwa ndo bye bye. Mtasubiri karne nzima kuanzia mwaka huu. Magufuli ataanza na wale wa NSSF.
 
ni kweli asee maana wangu nikimpa hela baby zinakua lukuki.
 
Vijana mnafundishana ujinga.
Na hao wanawake wenu wamewageuza wajinga.
 
Back
Top Bottom