Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwakweli, akipandisha Pishi, usiache kunistuaHahahaa me nmependa hii ya leo nmejifunza vingi sikuvijua. Kesho atuletee mapishi mengne ya huko tujifunze
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahha najua umekumbuka kitu
Hahaha umeona eeehhh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahha najua umekumbuka kitu
Muhimu,wifi akija awe msaidiz tu maana unakua ume master vzurKwakweli, akipandisha Pishi, usiache kunistua
Nakitoa wapi[emoji23][emoji23][emoji23] si bora nikanunue kwa wale wanaokuna kkoo[emoji23]Hata cha kukunia ukute huna.[emoji3][emoji3]
Umeona eeehh , sio SIKU anune ,basi eti nawanangu wasile...mie nisile...
Ayaaa wakwetu
Hahahaha aki ya nani nimemis kweli aiseee
Hahaha good,ningekua ni mm hapo kila siku najinunisha kumbe nakutegea unipikie[emoji23][emoji23]Umeona eeehh , sio SIKU anune ,basi eti nawanangu wasile...mie nisile...
Naingia jikon napika
Wewe wajua .. Wali mtamu
Hahahahahh Chunga kuna SIKU utalala njaaaHahaha good,ningekua ni mm hapo kila siku najinunisha kumbe nakutegea unipikie[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante
Ndiooo ,jeuri hula kiburi
Kesho usisahau kutuletea pishi ..nijifunze .Wewe wajua .. Wali mtamu
Usijali naleta kesho, wali Nazi...njegele Nazi ...nitaweka na Samaki sato