Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuwa na mamlaka ya pesa za michango ya walimu wote kila mweziMimi ningekuwa DC tu.
Kwanza marupurupu.
Ninaweza kukopa zaidi ya million 100 na kufanya miradi.
Ntaendeshwa na gari na kuwa bosi wa wilaya nzima.
Mwisho nitakuwa chawa wa mama hadi anarudishe Tena madarakani niendelee kula mema ya ya nchi.
Hii nchi ina watu wa ovyo.Vipi kuwa na mamlaka ya pesa za michango ya walimu wote kila mwezi
Mkuu ukuu wa wilaya hauna guarantee hata ukiikubali bora wameukataa ili kama lengo lilikuwa kuwatosa ijulikane mapema na wazoee kuliko kuteuliwa ukae miezi utumbuliweHii nchi ina watu wa ovyo.
Ukiwakataa watakukataa tu
Sasa mwenye 7.8M si anaweza kukopa mpaka milioni 300 kama mbunge tuu?Mimi ningekuwa DC tu.
Kwanza marupurupu.
Ninaweza kukopa zaidi ya million 100 na kufanya miradi.
Ntaendeshwa na gari na kuwa bosi wa wilaya nzima.
Mwisho nitakuwa chawa wa mama hadi anarudishe Tena madarakani niendelee kula mema ya ya nchi.
Sasa kazi ya Udc haina guarantee ila narudia Tena ukiwa chawa wa ccm utakula maisha.Sasa mwenye 7.8M si anaweza kukopa mpaka milioni 300 kama mbunge tuu?
ILA watajutia kukataa uteuzi ni dharau na kibri kwa mkuu wa nchi....kuna kitengo kitashughulika nao tena kimyakimya bila kelele! Labda kelele watapiga wao na si ajabu mkashangaa watu wakakimbilia kuropoti.. Serikali ni sirikali haijawahi kushindwa!MAMBO yamekuwa MAMBO .Wewe ni MTUMISHI wa TAASISI fulani unalipwa MSHAHARA wa Tsh.Mil.7.8
UNATEULIWA kuwa DC ili Upate MSHAHARA wa Tshs Mil.3 na SHANGINGI
Je UTAKUBALI TEUZI au UTAKATAA?
Kwani milion saba mshahara huwezi kukopeshwa milioni 100?Mimi ningekuwa DC tu.
Kwanza marupurupu.
Ninaweza kukopa zaidi ya million 100 na kufanya miradi.
Ntaendeshwa na gari na kuwa bosi wa wilaya nzima.
Mwisho nitakuwa chawa wa mama hadi anarudishe Tena madarakani niendelee kula mema ya ya nchi.
Pengine kipaumbele si mshahara. Wengine huanzia hapo, ila wanajipambanua kiasi cha kupewa ubunge na hatimae uwaziri. Ukifikia uwaziri, unaweza kuwa yeyote hata rais kama tulie naye sasa.MAMBO yamekuwa MAMBO .Wewe ni MTUMISHI wa TAASISI fulani unalipwa MSHAHARA wa Tsh.Mil.7.8
UNATEULIWA kuwa DC ili Upate MSHAHARA wa Tshs Mil.3 na SHANGINGI
Je UTAKUBALI TEUZI au UTAKATAA?
Mbona kuna mwamba alimkazia Magufuli akakataa ukuu wa wilaya na mpaka leo fureshi tu.ILA watajutia kukataa uteuzi ni dharau na kibri kwa mkuu wa nchi....kuna kitengo kitashughulika nao tena kimyakimya bila kelele! Labda kelele watapiga wao na si ajabu mkashangaa watu wakakimbilia kuropoti.. Serikali ni sirikali haijawahi kushindwa!