Je, unaweza kufanya kazi kama Personal Assistant?

Je, unaweza kufanya kazi kama Personal Assistant?

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Habari,

Kuna Project Ndogo ambayo inaweza kuhitaji PAs kama 10 hivi lakini ambao watakuwa wanafanya kazi Remotely. Kwa malipo ambayo yatakuwa calculated Hourly. Anaweza kufanya Mtu yeyote ME/KE ila ni lazima awe anajua kuongea na kuandika Kiingereza na Kiswahili. Lazima awe na ujuzi wa kutumia Computer na Lazima uwe mbunifu na mwenye kujiamini.

Majukumu yake ya Msingi yatakuwa ni Pamoja na:

Kupokea Simu na Kupiga Simu
Kuchapa barua
Kujibu Emails
Kuandaa Ripoti na Taarfa Mbalimbali
Kufanya utafiti mtandaoni
Kudraft barua
Kusoma machapisho mbalimbali na kuandika summary
Kuhudhuria vikao mbalimbali na kuchukua minutes
Kufanya Appointments
Kusimamia na kufuatilia Ratiba
Majukumu Mengine Kwa kadiri ya ujuzi wako na mahitaji ya Mteja

Kama Unaweza kufanya Kazi Remotely
Tafadhali tuma wasifu wako kwenda masokotz@yahoo.com
Deadline ni tarehe 30April 2021
 
Dah tatizo kiingereza nna "the" the" you know nyingi😒 ila kila rakheri kwa wengine wenye vigezo.

Thank you for sharing mkuu!
 
Habari,

Kuna Project Ndogo ambayo inaweza kuhitaji PAs kama 10 hivi lakini ambao watakuwa wanafanya kazi Remotely. Kwa malipo ambayo yatakuwa calculated Hourly. Anaweza kufanya Mtu yeyote ME/KE ila ni lazima awe anajua kuongea na kuandika Kiingereza na Kiswahili. Lazima awe na ujuzi wa kutumia Computer na Lazima uwe mbunifu na mwenye kujiamini.

Majukumu yake ya Msingi yatakuwa ni Pamoja na:

Kupokea Simu na Kupiga Simu
Kuchapa barua
Kujibu Emails
Kuandaa Ripoti na Taarfa Mbalimbali
Kufanya utafiti mtandaoni
Kudraft barua
Kusoma machapisho mbalimbali na kuandika summary
Kuhudhuria vikao mbalimbali na kuchukua minutes
Kufanya Appointments
Kusimamia na kufuatilia Ratiba
Majukumu Mengine Kwa kadiri ya ujuzi wako na mahitaji ya Mteja

Kama Unaweza kufanya Kazi Remotely
Tafadhali tuma wasifu wako kwenda masokotz@yahoo.com
Ubarikiwe sana Kiongozi kwa kushare nasisi tayari nishafanya Application tangu jana,

Shukran sana
 
Back
Top Bottom