Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Mkuu hyo program unaeza ku download kwenye cmu maana kuna picha nataka niziangalie nilifuta miaka 2 imepita
 
Mmmh! Huyo hayuko sawa akilini... Labda nisijue kinachoendelea... Ntataka tu kuwachungulia [emoji23]
 
Mmmh mie siwezi, na wala siwezi mla demu wakati yuko mtu mwingine ndani. Lile tendo la faragha sana, mnakuwa hamko huru. Kwani Lodge ziko za nini?
 
Ungeendelea tu kumpapasa labda angemrudisha demu upande wako
 
Msela amecheka kupapaswa Itigi?
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] hii kubwa kuliko
 
hahahahaha
 
Ni mimi mkuu tulikotoka nilipiga kama vi tatu gest sasa demu kwenda kwao ikawa shida usiku ikabidi nije nae geto nikapiga tena kimoja mbona niliona kila kitu nilikuacha tu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji106]
 
Sija wahi pata bahati hiyo ila ninge ifurahia kw avile napenda sana kupiga chabo
 
Mimi niliwah kunitokea nikiwa mdogo fulan kiumri japo balehe tayar ambapo nipo ghetto uck brother angu kaja na dem ake so walipofika ndan chumban wakaniona wakaamua wakalale sebulen so baada ya muda ikawa shda kwangu kwan walikuwa wanaduu hakika sikupata usingz kabisa aisee
 
Acha dharau kwa binadamu wenzio....'sura mbovu' na 'lidemu' sio vizuri sana kuyatumia unapozungumzia watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…