Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Ahahaha mi haijawahi kunitokea kwakweli, kusafiri kwangu kote. Adha nilizozipata ni makelele tu ya wafanya mapenzi kwenye magesti enzi hizo miaka ya 90 nilipokuwa nabangaiza mikoani. Kuna siku pale uyole jamaa alikamata kisichana kelele zao gesti nzima hatukulala. Ilipigwa kura aidha wahame ama iwe ni mwendo wa kimya kimya. ikawa mwendo wa kimya hadi kunakucha.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ilishawahi kunitokea, tulikuwa tunalala na brother enzi hizo 2002 anasaka ajira mimi niko form one. Kukawepo na harusi ya watu wa karibu na familia yetu.

Kwenye harusi bro akajizolea demu, mida ya SAA 6 wakaja ghetto wakanikuta fofofo! Bro akaniamsha akaniambia dogo hamia sebuleni. Nikatandika godoro chini nikawaachia chumba.

Ile nalala tu naanza kuskia miguno. Jamaa hawakuzima hata taa... Aisee usingizi ulikata kabisa ikabidi nianze kula chabo!!! Hamna siku nilidindisha muda mrefu kama hiyo.

Bro alikomaa mabao matatu nashuhudia! Hadi SAA 9 usiku jamaa wakasinzia. Mimi hapo usingizi uligoma nimekuja kusinzia almost SAA 11!! Kesho yake dyudyu iliuma karibu siku nzima

Huwa sisahau daadek, na wala sikuwahi kumwambia kuwa nilikula deo la bure siku hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndo ushaniambia hapa mdogo wangu,pole sana
 
Kuna kipindi nilikuwa chuo flani tuko hosteli za nje tulikuwa tunalala wanne wanne kwenye deka hizi za vyuoni,

Sasa kitaa kulikuwa na demu anasura mbovu alikuwa anauza chai,
Nakumbuka siku hiyo jamaa yetu mida ya saa sita usiku kamwingiza demu room tukiwa tumelala,
Mara gafla jamaa akaanza kula mzigo, ile miguno kumbe na wenzangu walikuwa wanaisikia tulikuja kujua baadae lakini,
Tulikuwa hatuna pesa alafu ukame ulikuwa wa hatari, wengine hawajawahi hata kula papuchi,
Sasa ile jamaa kashuka kifuani mara gafla jamaa yetu wa pembeni akaingia kimya kimya akaanza kupiga,
Ebanaee uzalendo ukanshida ila nlikuwa na kondomu pale ndan nlizinunuaga kitambo kwaajili ya shem wenu ila akaingia mtini hivyo basi zikawa hazina kazi,
Siku hiyo namimi nkaliunga tukijua kuwa jamaa yetu dully alikuwa analala deka la juu kuwa hajasikia,
Ile namalizia tu nachomoa, dully aliruka tokea juu ya deka hadi chini kama chura fasta naye akaliunga,
Tulicheka sana kuanzia siku hiyo dully tukambatiza jina la chura,
Kimbembe kilikuja siku chache baada ya tukio,
Lile li demu likawa linatangazia watu kuwa lilisha tembea na sisi,
Ukipita tu pale linapouziaga chai linawaonyesha na kuwaambia kuwa yule nshatembea naye,
Ilikua aibu sanaa
1537390437155.png
LUCY DUBE mkome kumbe ni ninyi mlipigishwa mtunge mtu nne yule muuza chai alijiweza
 
Siku moja tumetoka kula sehemu kama SAA Tano hivi usiku. Kwangu umeme umekatika nikamwambia rafiki angu nataka kulala Hotel basi mwanaume wake akasema anatupeleka kulala halafu ataondoka. Tumefika hotel nikashangaa wenzangu wameenda kuoga nikamwambia yule mwanaume hulali hapa. Sasa nikapitiwa na usingizii wakati wao wamekaa kitandani wanapiga story. Nakuja kushtuka SAA kumi na moja asubuhi nasikia miguno tu. Nagueza shingo nakuta bidada yuko juu anashughulika. Nikarudisha zangu shingo upande mwingine ila walivyomaliza nikawaambia nimewaona mlichokua mnafanya
Tuongee ukweli mkuu genye halikupanda kweli?
 
Kuna dada mmoja jirani... alipanga chumba kimoja huku anaishi na mdogo wake wa darasa la saba.. sasa ikawa bwanake akija na kutaka kulala kwake wanalala kitanda kimoja huku wao wanaendelea yao wakiamini dogo bado mdogo haelewi ishu hizo lol mwanaume mwenyewe alikuwa mawenge kishenzz............mpaka dakika hii imebaki history tu

Cc Smart911
Alimla dogo?
 
Nakumbuka Mwaka 2007 nikiwa o level tumemalza likzo ya Mwez wa 6 naenda Shule mwanza nilifika Meatu usiku wa saa 5gari liliharibika njian na nilipofka Gest zote zmejaa ndipo muhudum aliponiuzia Chumba chake nilale chaajabu mida ya saa 8 anaingia na jamaa mmoja wakapiga show had saa 11alfajir no lihangaika sana ucku ule porn za laivu acha tu! Ucngz hamna hela nmeshalipia cna balance na gest zmejaa.
 
Iliwahi nitokea nilikuwa na rafiki yangu kipindi hicho nalala kwake, kaleta demu gheto kwake, jamaa alianza kupiga show alivyokojoa kalala, kumbe bwana ni wale washikaji wakupiga kimoja analala jumla.

Mshikaji alivyo lofa kamlaza demu katikati then kachapa usingz, usingz ulivyomkolea nikaanza kumchokoza demu kwa kumpapasa Mara ya kwanza alikuwa ananitoa mkono mwishowe akauacha.

Bwanae yule demu genye zimemjaa akaamua kupanda juu taratibu nikapewa viuno vya kufa mtu nikachapa viwili, nilivyomaliza tu nikageuka mzungu wa nne nikalala, alfajir saa 10 kanigeukia nikaosha kimoja nikalala,

Jamaa alivyolala hakuamka mpaka asubuhi alivyokuja kuamka kamwamsha na demu kamsindikiza kwao, Mungu anisamehe yule rafiki yangu hajui mpaka leo.
Hot Tea s1ep1
 
Ni mimi mkuu tulikotoka nilipiga kama vi tatu gest sasa demu kwenda kwao ikawa shida usiku ikabidi nije nae geto nikapiga tena kimoja mbona niliona kila kitu nilikuacha tu.
Hot Tea s1ep2
 
Mimi ilikua hivi
Kuna siku usiku bro kamleta demu mmoj na dada yake home tukala nao tukacheki movie mpaka saa 4 hivi usiku wakaaga kwenda kwao kufika kule wakamtext bro kua maza yao kafunga mlango so wanakuja kulala home,bro akanipanga nijidai vyumba vimejaa so nilale na mmoj sebuleni,godoro tukaweka
Bro akaenda na demu wake room
Hamuwezi kuamini yule demu nilistukia ananiambia "nataka kulala ,kalale basi,wakati nilishampanga kabisa naona alinidharau kisa umri
Aisee nikaenda room ule usiku sikulala nili mind kichizi,
Bahati nzuri siku moja baada ya miaka 2 kupita nikawa nimedownload data recovery program kwenye pc yangu.ili nipate picha zangu za kitambo.katika ku search the lost files nakutana na picha za uchi za wale wadada.(walikua na mazoea ya kutumia pc yangu) aisee usiku ule nilijisajiri chaputa
 
Back
Top Bottom