Wewe una connection gani?acha kuongea uongo humu na unafanya hivyo kwa manufaa yapi?hiv angekuwa hana nguvu kwenye media yake unazani kwanini kajaza Sana nduguzake pale Wasafi na marafiki zake? Na Kaka yake kampa role kubwa pale ya vice president ikiwemo kumpa kusimamia idara nzima ya mziki departmenttusibishane,nauhakika kuwa hata connection na hawa watu huna...............achana na ubishi na watu ambao tuna connection huku juu
na nina imani hata exprience na hizi kazi huna
tusibishane,nauhakika kuwa hata connection na hawa watu huna...............achana na ubishi na watu ambao tuna connection huku juu
na nina imani hata exprience na hizi kazi huna
Umemaliza kila kitu tatizo la sisi wa Tanzania tunajifanya wajuaji Sana na tunajua kila kitu Ricardo Momo,Romy Jones pamoja na managers wa WCB ndo wanaonajua mambo yanayohusiana na WCB si mtu wa nje yoyote.Sisi wengine tunaongea mambo yanayoonekana basi si nje ya hapo.Wenye connection na hizo kazi au ungekuwa member wa wasafi media, usingekuwa na uelewa mdogo kiasi hicho, huyo dogo unaebishana nae angekuwa na akili za kujitapa kama wewe, tungeyajua mengi saaana.Connection huna, na hata kama unayo haitoshi kueleza yaliyomo WCB.
Kaa utulie.............assume unamepanga nyumba na una hela mpaka za kuajiri watu waweza daiwa pango la nyumba unayoishi ya zaidi ya mwaka????Wenye connection na hizo kazi au ungekuwa member wa wasafi media, usingekuwa na uelewa mdogo kiasi hicho, huyo dogo unaebishana nae angekuwa na akili za kujitapa kama wewe, tungeyajua mengi saaana.Connection huna, na hata kama unayo haitoshi kueleza yaliyomo WCB.
ninauzoefu na hizi kazi kwa zaidi ya 15 yrs.........................nikupe mfano wa kimbumbumbu,kwenye comment huko juu kuna mtu kasema Diamond na hela zake anauwezo wakuajiri watu zaidi ya 60,OK si tatizo.............waweza nambia how come mtu mwenye hela ndefu anafeli kulipa pango la nyumba aliyopanga kwa zaidi ya mwaka mzima na huku kila mwezi akiwa anafanya show Kumbuka RAYVANNY naye katimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapanga kwa kushindwa kulipa pango kwa muda mrefu,HARMONIZE ili alipe MIL 500 za kuvunja mkataba alikosa cash yakutosha akabidi auze na nyumba na baadhi ya mali anazomiliki ili alipie dau hilo na bado deni amebakiza.........mbali na SALLAM SK na huyo RJ kuna watu nyuma ya WCB wapo wanaoipush ambao huwajui na wao hawataki kujulikana direct zaidi ya kuwepo kwenye MIKATABA tu na wanao wajua ni wachache na ukitaka kuwajua tafuta connection ya wanaowajua.......Umemaliza kila kitu tatizo la sisi wa Tanzania tunajifanya wajuaji Sana na tunajua kila kitu Ricardo Momo,Romy Jones pamoja na managers wa WCB ndo wanaonajua mambo yanayohusiana na WCB si mtu wa nje yoyote.Sisi wengine tunaongea mambo yanayoonekana basi si nje ya hapo.
Vanessa Mdee ni yupo nyuma ya Diamond, Ila kweny maisha yake binafsi nae n boss kubwa, c unajua muke ya rotimi. Ila sijapenda nafas uliyomuweka kweny hii list akoWasanii wanaofanya vizuri kwa sasa (bongofleva) kwa harakaharaka ni kama;
*Diamond
*Alikiba
Harmonize
Rayvanny
Nandy
Jux
Aslay
'Weusi'
'Navy Kenzo'
Vanessa
Mbosso
Lavalava
Ney Mitego
Ben Paul
Marioo
Barnaba
Janjaro
Whozu
Ruby
Maua Sama
Darassa
Ommy Dimpoz
Bill Nass
Young Killer
Young D
Luludiva
Giggy
Mimi Mars
N.k
Je uhalisia wa maisha yao unaendana na majina yao, ukiacha hao wawili niliowawekea nyota ambao angalau wengi tunafahamu maisha yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Vanessa Mdee ni yupo nyuma ya Diamond, Ila kweny maisha yake binafsi nae n boss kubwa, c unajua muke ya rotimi. Ila sijapenda nafas uliyomuweka kweny hii list ako
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na yote Diamond kafanikiwa sana kimuziki na kimaisha, so hilo halihitaji mjadala saaana. Kungekuwa na wasanii hata 50 waliowahi kufikia mafanikio ya jamaa atleast mzazi unaweza pata moyo wa kumruhusu mwanao afanye sanaa, tatizo ni je kina Diamond wako wangapi?Niliskia Diamond anakesi kafunguliwa na landlord wake kasababisha hasara kwenye nyumba ya watu na ana madeni ya kodi zaidi ya milion 400
na saizi show zimebuma labda views
Hizo tetesi za diamond kudaiwa sh 400m ulisisikia ikiwa diamond yupo nje ya nchi haya sasa amesharudi Tanzania je umesikia tena jamaa anadai? Hoja yako nyingine umesema Rayvanny anadaiwa hela ya Kodi lakini umeshindwa kujua Rayvanny kapanga nyumba nzima na nyumba ya Bei ghali nikujuze Rayvanny hajatimuliwa Kama unavyosema bado yupo hapo hiv mtu ambaye Hana hela anaweza kumiliki Prado anayomiliki Rayvanny?hoja nyingine umezungumzia hisia zaidi kuliko kuleta evidence.ninauzoefu na hizi kazi kwa zaidi ya 15 yrs.........................nikupe mfano wa kimbumbumbu,kwenye comment huko juu kuna mtu kasema Diamond na hela zake anauwezo wakuajiri watu zaidi ya 60,OK si tatizo.............waweza nambia how come mtu mwenye hela ndefu anafeli kulipa pango la nyumba aliyopanga kwa zaidi ya mwaka mzima na huku kila mwezi akiwa anafanya show Kumbuka RAYVANNY naye katimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapanga kwa kushindwa kulipa pango kwa muda mrefu,HARMONIZE ili alipe MIL 500 za kuvunja mkataba alikosa cash yakutosha akabidi auze na nyumba na baadhi ya mali anazomiliki ili alipie dau hilo na bado deni amebakiza.........mbali na SALLAM SK na huyo RJ kuna watu nyuma ya WCB wapo wanaoipush ambao huwajui na wao hawataki kujulikana direct zaidi ya kuwepo kwenye MIKATABA tu na wanao wajua ni wachache na ukitaka kuwajua tafuta connection ya wanaowajua.......
unaenda kupiga show nje ambyo unauhakika wa kuingiza around MIL 200,MIDDLE MEN kwa gawio la chini atataka around MIL.60 na mara nyingi hatakuwa peke yake lets say wapo wawili 2 kwa gawio hilo hilo 60 x 2=MIL 120 ....bd hujalipa kodi ambayo ni around 20% sawa na MIL 40 ya MIL 200 achana na crew utakayoenda nayo.....estimation yake ni around 160MIL waweza nambia atabakiza kiasi gani ikiwa show ndo pato kubwa la msanii.........
Hi ndio jamiiforum na kila mtu ana upeo wake wewe wazoee tu
Mkuu uwekezaji wa mziki unahitaji pesa ya kutosha ili utoboe,useme utegemee kipaji tu bila kuwekeza pesa..lazima upotee kwenye soko.Tuanzie kwenye kutunga wimbo,kutengeneza audio,video hapo lazima pesa ikutoke,kuitangaza nyimbo yako lazima pesa ikutoke, upeleke vituo vya radio na tv hapo lazima pesa ikutoke....ukija kupiga mahesabu unawezakuta milioni 200+ imetumika ndio uje uanze kupata faida. Kwa hali ya kawaida msanii anayeanza mziki kuwekeza pesa hizo ni shida,ndio maana wanatokea watu wenye fedha zao na kuamua kummiliki msanii huku baadaye waje wagawane faida.Mbaya zaidi msanii akivuma....anaanza kusikiliza maneno ya nje na kushauriwa na wahuni kuwa ananyonywa,ndipo hapo anaachana na tajiri yake akitegemea akisimama mwenyewe kwa sababu ana kipaji atatoboa.Ndivyo wengi hupotea kwenye mziki.....mziki ni kuwekeza pesa sio kipaji tu,kama ni kipaji kawaambie majirani.Wapi Saida Karoli? Mr. Nice? Feruz? 20%? Z-Anto? Matonya? Marlaw? Afande? Daz Baba? OTen? Joslin? Caz T? Zay B? Sister P? Wagosi? Inspector? Dudubaya? Mwinjuma Muumin? Ally Choki? Badi Bakule? Banza Stone(kabla hajafa)? Ngwea (kabla hajafa)? Bambo? Norah? Kibakuli? Matumaini? Sinta? Nina?Johari? Na list ndefu inaendelea.... Hao ni baadhi tu ya wasanii waliowahi kufanya vizuri, je maisha yao kwasasa yakoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
hata Ali KIba anamiliki BMW X6 lakini ile MIL 4 ya MAN WATER ilimteteresha.................maisha ya masuperstar wengi ni ISTA....ila ukija kwenye uhalisia mkuu hata mkulima aweza kuwa na afadhali natamani nikupe namba ya RAYVANNY uongee naye private na awe muwazi kwako nadhani utaacha kuongea pumbaHizo tetesi za diamond kudaiwa sh 400m ulisisikia ikiwa diamond yupo nje ya nchi haya sasa amesharudi Tanzania je umesikia tena jamaa anadai? Hoja yako nyingine umesema Rayvanny anadaiwa hela ya Kodi lakini umeshindwa kujua Rayvanny kapanga nyumba nzima na nyumba ya Bei ghali nikujuze Rayvanny hajatimuliwa Kama unavyosema bado yupo hapo hiv mtu ambaye Hana hela anaweza kumiliki Prado anayomiliki Rayvanny?hoja nyingine umezungumzia hisia zaidi kuliko kuleta evidence.
Nikisikia haya maneno "Vanessa now hayuko serious na music Yuko bize na mapenzi" naumia Zaid ya muhusika mwenyewe. Vee Yuko on [emoji91][emoji91][emoji91] na bado anatamba haswaaa hawa wengne watasubiri, japo kasema kajipa likizo maan miak 13 ya Muzik wake hajawah kuwa off,List yangu iko randomly, btw mi naona kama Vannesa sikuhizi hayuko siriaz na muziki, yuko bize na mapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app