Je, unaweza kumshauri mwanao kuwa msanii?

Je, unaweza kumshauri mwanao kuwa msanii?

Jifunze kuficha upumbavu wako kijana.Acha kuja hapa na habari za udaku kutoka blog uchwara ambazo huandika hbr za kusadikika zisizo kuw na fact kuhusu mastaa ili kukuza brand.Jiulize...Ikiwa Mond anadaiwa kiasi cha 400M, umeshaskia kesi yoyote mahakamani.?? na kama hakuna kesi tutaamini vipi kuwa anadaiwa kweli..?? au ndo unataka tuamini kua huenda anaedai kaamua kusamehe kiasi hicho cha fedha tena kwa mtu anaedai kuwa ana hela..??
Kuhusu Konde, amini kwamba hakuna nyumba iliyouzwa, ile ni business strategy ili kutafta huruma ya mashabiki.?? Rayvanny kafukuzwa kaenda wapi.?? acha uongo vanny bd yupo pale. Kuhusu huo mchanganuo wa fedha ulioweka hapo, labd ni wa biashara ya karanga au maandazi, mipango ya show ya mond haiko kipumbav hvy.
Asipokuelewa hapa atakuwa ana matatizo ya akili na ujuaji mwingi.
 
nani kasema DIAMOND hana mafanikio mimi pia ni mmojawapo niliyeweka hela zangu kwenye moja ya project zake
......tofautisha kati ya GENERAL TERM"MAFANIKIO" na mamilioni ya feha...tusibishane ujinga.............kesi bado iko mahakamani na haijafungwa mpka sasa
Taja hiyo project uliyoweka hela?
 
wekeza kwenye music industry kwanza...halafu tuje tuongee pumba vizuri
Issue ni fake ID ndomaana hata wew unataka kuaminisha watu eti umewekeza kwny music industry.Nimeona apo juu unasema et unatamani umpe mkuu namba za rayvanny aongee nae, Unadhani unazo wewe tu eeh..?? Hakuna shoo yenye mchanganuo wa kifedha wakipumbav hvy, yaan shoo ya 200M, middleman apate 120, hahaha.. washikie Akili wengne sio mimi.Naijua vzr WCB kuliko, Naongea fact, kaa usubirie hiyo kesi.
 
Issue ni fake ID ndomaana hata wew unataka kuaminisha watu eti umewekeza kwny music industry.Nimeona apo juu unasema et unatamani umpe mkuu namba za rayvanny aongee nae, Unadhani unazo wewe tu eeh..?? Hakuna shoo yenye mchanganuo wa kifedha wakipumbav hvy, yaan shoo ya 200M, middleman apate 120, hahaha.. washikie Akili wengne sio mimi.Naijua vzr WCB kuliko, Naongea fact, kaa usubirie hiyo kesi.
kazana kuijua
 
Issue ni fake ID ndomaana hata wew unataka kuaminisha watu eti umewekeza kwny music industry.Nimeona apo juu unasema et unatamani umpe mkuu namba za rayvanny aongee nae, Unadhani unazo wewe tu eeh..?? Hakuna shoo yenye mchanganuo wa kifedha wakipumbav hvy, yaan shoo ya 200M, middleman apate 120, hahaha.. washikie Akili wengne sio mimi.Naijua vzr WCB kuliko, Naongea fact, kaa usubirie hiyo kesi.
Hata mimi hapo akili imegoma kuamini, show ya mil. 200 msanii aondoke na mil 40 hiyo ni zaidi ya biashara kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nani kasema DIAMOND hana mafanikio mimi pia ni mmojawapo niliyeweka hela zangu kwenye moja ya project zake
......tofautisha kati ya GENERAL TERM"MAFANIKIO" na mamilioni ya feha...tusibishane ujinga.............kesi bado iko mahakamani na haijafungwa mpka sasa

Wewe jamaa ni muongo sana, Umewekeza kwny project gani?? Simaanishi ujiexpose apa, nataka uweke code kdg tu hapa, afu me ntajua umemaanisha ipi, kama wewe ni member wa WCB nikisema code nadhan utakuw umenielewa.Otherwise wewe ni kapuku tu, usiejua lolote.
 
Wewe jamaa ni muongo sana, Umewekeza kwny project gani?? Simaanishi ujiexpose apa, nataka uweke code kdg tu hapa, afu me ntajua umemaanisha ipi, kama wewe ni member wa WCB nikisema code nadhan utakuw umenielewa.Otherwise wewe ni kapuku tu, usiejua lolote.
boss na code za kikapuku wapi na wapi.....ila inshort dili la mbezi linanihusu
 
Wewe jamaa ni muongo sana, Umewekeza kwny project gani?? Simaanishi ujiexpose apa, nataka uweke code kdg tu hapa, afu me ntajua umemaanisha ipi, kama wewe ni member wa WCB nikisema code nadhan utakuw umenielewa.Otherwise wewe ni kapuku tu, usiejua lolote.
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Uwezekano wa kutoboa upo ila probability ni ndogo mno, je utamshauri mwanao awekeze sehemu ambayo ni kama gambling?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa life ya saiv kila kitu ni gambling.... unachofanya ni kumbetia mwanao, acha abeti mwenyewe asije kukulaumu... kimsing timiza majukumu yako kwa kumuelekeza mambo yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
boss na code za kikapuku wapi na wapi.....ila inshort dili la mbezi linanihusu
😃😃😃😃😃😃😃😃😃 We jamaa umefurahisha yaani nimecheka kwa nguvu mpaka watu wananishangaa eti deal la mbezi me nipo we jamaa inabidi uwe comedian
 
😃😃😃😃😃😃😃😃😃 We jamaa umefurahisha yaani nimecheka kwa nguvu mpaka watu wananishangaa eti deal la mbezi me nipo we jamaa inabidi uwe comedian
jikaze coz nadhani haina haja ya kukuonesha na mikataba.....hela ni zangu na kama zinakuuma basi watabia za kike
 
Hata mimi hapo akili imegoma kuamini, show ya mil. 200 msanii aondoke na mil 40 hiyo ni zaidi ya biashara kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha tena anakwambia kwny hiyo 40M et bado management yake haijatoa kitu.Ni kweli Mond analazimika kugawana mapato na management yake lakini si katika mfumo wa kipumbavu hivyo.Huyu jamaa anataka kujifanya anaijua sn WCB kumbe ni shabiki wa kawada tu.
 
jikaze coz nadhani haina haja ya kukuonesha na mikataba.....hela ni zangu na kama zinakuuma basi watabia za kike
Dili la Mbezi ndo uwekeze pesa tena nine figures...??? Mkuu mimi ngoja niishie hapa, naamini nkiendelea huenda nikafika ambako sitakiwi.Kuhusu WCB kidoooooogo waweza kuwadanganya wengne, ingawa naamini watz wa sasa sio wapumbav kiasi hicho.Kingne unachotakiwa kujua ni kwamba JF ni platform ambayo ukidanganya wapo wanaoujua ukweli.
 
Dili la Mbezi ndo uwekeze pesa tena nine figures...??? Mkuu mimi ngoja niishie hapa, naamini nkiendelea huenda nikafika ambako sitakiwi.Kuhusu WCB kidoooooogo waweza kuwadanganya wengne, ingawa naamini watz wa sasa sio wapumbav kiasi hicho.Kingne unachotakiwa kujua ni kwamba JF ni platform ambayo ukidanganya wapo wanaoujua ukweli.
😃😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Dili la Mbezi ndo uwekeze pesa tena nine figures...??? Mkuu mimi ngoja niishie hapa, naamini nkiendelea huenda nikafika ambako sitakiwi.Kuhusu WCB kidoooooogo waweza kuwadanganya wengne, ingawa naamini watz wa sasa sio wapumbav kiasi hicho.Kingne unachotakiwa kujua ni kwamba JF ni platform ambayo ukidanganya wapo wanaoujua ukweli.
Kwahiyo ulitaka niweke MIL 10.....wewe ni nani mpk unipangie maisha na nilivyovichuma
ukiwa nazo utajua ni kwanini tunayafanya haya
 
Back
Top Bottom